Yericko Nyerere aandika Kitabu Kipya cha MOSCOW: Operesheni Ukraine

Shoga ni putin alieshindwa kupiga kainchi kadogo siku 3 mpaka sasa mwaka wa 3. Alikavizia usiku usiku angetangaza vita mapema angeona. Shoga putin msafara wake km60 uliteketezwa sijui kama huo uchafu wako umeandika jinsi mlivyoteketezwa pale kyiv
Unaonekana una hasira sana, Ulimia sana Putin kuzuia ushoga?πŸ˜‚
 
Mwaka 2025 nimepanga kutembelea shule nilizosoma nitawabebea zawadi vitabu viwili kila shule kutoka primary hadi chuo sina shaka nitajipatia vitabu 4 ujasusi wa kidola na kiuchumi na vitabu vinne operasheni ukraine, kwaajili ya maktaba kwa shule husika yericko ni mmoja tu nchi hii.
Kusema ukweli nilikua sijui kama operesheni ukraine ilikua imeisha taarifa hii sikuipata vijiweni nimeipata kwa yericko.
Π™Π΅Ρ€ΠΈΠΊΠΎ, Π½Π΅ уставай ΠΏΠΈΡΠ°Ρ‚ΡŒ ΠΊΠ½ΠΈΠ³ΠΈ, Ρ‚Ρ‹ помогаСшь Π’Π°Π½Π·Π°Π½ΠΈΠΈ, Π΅ΡΡ‚ΡŒ шанс Π½Π°ΠΏΠΈΡΠ°Ρ‚ΡŒ ΠΌΠ½ΠΎΠ³ΠΎ ΠΊΠ½ΠΈΠ³ ΠΏΠΎ этой области Ρ€Π°Π·Π²Π΅Π΄ΠΊΠΈ ΠΈ ΠΌΠΈΡ€ΠΎΠ²Ρ‹Ρ… Π»ΠΈΠ΄Π΅Ρ€ΠΎΠ², Π½Π°ΠΏΡ€ΠΈΠΌΠ΅Ρ€, коррупция Π±Π΅Π»Ρ‹Ρ… ΠΈ Π°ΠΌΠ΅Ρ€ΠΈΠΊΠ°Π½Ρ†Π΅Π² Π½Π° Π‘Π»ΠΈΠΆΠ½Π΅ΠΌ ВостокС, Ρ€Π°Π·Π²Ρ€Π°Ρ‰Π΅Π½ΠΈΠ΅ Π΅Π²Ρ€Π΅Π΅Π² Π² шпионаТС, Π½ΠΎ послСднСС, Π½ΠΎ Π½Π΅ самоС Π³Π»Π°Π²Π½ΠΎΠ΅, Π½Π°ΠΏΠΈΡˆΠΈΡ‚Π΅, поТалуйста, ΠΊΠ½ΠΈΠ³Ρƒ ΠΎ Π½Π°ΡˆΠΈΡ… исконных рСлигиях, рСлигиях Π½Π°ΡˆΠΈΡ… ΠΏΡ€Π΅Π΄ΠΊΠΎΠ² ΠΈ Π΄ΡƒΡ…ΠΎΠ²
 
Utabeba pumba tu hiki kingine bora ujasusi wa kidola alikua na akili bado mwandishi hiki kingine ni story za kuokoteza vijiwe vya kahawa
 
Na ukraine wamekufa wangapi? Muhimu ni kichapo kiendelee ukraine achapike hapohapo nyumbani kwake
Kichapo kinaendelea tuleteeni hao laki3 tuwamalize tena mkakusanye upya tena bada miezi 6. Ukraine imegeuka machinjio ya jeshi la urusi
 
Hivi ni sahihi kitabu kuachiwa kabla ya vita kuisha?

I mean hapa katikati hakuna matukio muhimu ambayo yanaweza kujitokeza na kuwa potential zaidi kwenye kitabu chake?
Hahaha alitaka awe wa kwanza kuandika na kutoa kitabu msije sema ali kopi. Mwenzenu alitamani atoe kitabu hata kabla vita haijaanza wewe unashangaa leo.
 
Ameandikaje kitabu hiki wakati hata Moscow hajawahi kufika!!??

Haya ni maajabu ya karne......lazima amefanya plagiarism huyu
 
Hii ni personal sana mkuu, kumkashifu mtu kwa opionion zako binafsi
 
Hivi ni sahihi kitabu kuachiwa kabla ya vita kuisha?

I mean hapa katikati hakuna matukio muhimu ambayo yanaweza kujitokeza na kuwa potential zaidi kwenye kitabu chake?
Jamaa anatembea na biti. Fursa hiyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…