Yericko Nyerere anadhani Israel ni Tanzania

Yericko Nyerere anadhani Israel ni Tanzania

Anajifanya mtu wa mizimu ila vitabu vyake haandiki kwa lugha ya kabila lake , jamaa mnafiki kiwango cha lami ...Mda huo kala suti hajavaa ngozi za fisi kama utamaduni wa kwao .
Aaahaa
 
Mwambieni Yericko Nyerere Israeli siyo Tanzania eti wataendelea kumchekea anavyowachambua huku akionyesha dhahili anawatweza.

Mwambieni Yericko Nyerere alipo hata wa Israeli wapo, wakimwangalia tu.

Mwambieni Yericko Nyerere Israeli hawacheki na huwa si wavumilivu kwa yeyote wanayehisi ni mmoja wa wafurahiao matatizo yao pasi na kujali hali halisi.

Mwambieni Yericko Nyerere Israeli siyo wavumilivu hata kidogo!

Kazi kwake kuamua.
Chawa wa Israeli hawana tofauti na Chawa wa ccm.

Habari za Israeli na vita vyao vinachambuliwa na mamilioni ya Watu kwenye platform zote zikiwemo official media tv and stream lines.

Sasa Wewe Chawa hata Misri hujawahi kufika unamtisha Yerricko
 
Uyo yeriko ni mtoto wa nyerere au nae ndio wale ambao familia inataka wasitembelee kiki ya jina la baba yao?
Huyu Yericko siyo familia ya Nyerere na kufanya Netanyahu afikirie kwamba Familia ya Nyerere inampiga vita ni jambo ambalo halikubaliki kwetu Familia ya Nyerere.
 
Mwambi
Mwambieni Yericko Nyerere Israeli siyo Tanzania eti wataendelea kumchekea anavyowachambua huku akionyesha dhahili anawatweza.

Mwambieni Yericko Nyerere alipo hata wa Israeli wapo, wakimwangalia tu.

Mwambieni Yericko Nyerere Israeli hawacheki na huwa si wavumilivu kwa yeyote wanayehisi ni mmoja wa wafurahiao matatizo yao pasi na kujali hali halisi.

Mwambieni Yericko Nyerere Israeli siyo wavumilivu hata kidogo!

Kazi kwake kuamua.
Isreal imewekwa na uno
 
Sijawahi kumuelewa hata kidogo huyu bwana katika maswala yake ya uchambuzi wa angle aliochagua amuige mwenzake Thabit Mlangi huyu ndio mkali wa hizo angle.
 
Mwambieni Yericko Nyerere Israeli siyo Tanzania eti wataendelea kumchekea anavyowachambua huku akionyesha dhahili anawatweza.

Mwambieni Yericko Nyerere alipo hata wa Israeli wapo, wakimwangalia tu.

Mwambieni Yericko Nyerere Israeli hawacheki na huwa si wavumilivu kwa yeyote wanayehisi ni mmoja wa wafurahiao matatizo yao pasi na kujali hali halisi.

Mwambieni Yericko Nyerere Israeli siyo wavumilivu hata kidogo!

Kazi kwake kuamua.
Israel imekuwa CCM ije ihangaike na watu wanaoikosoa? Wao wana deal na mambo makubwa makubwa na siyo wajinga kama CCM.
 
Ingawa waisrael watamchukulia Yericko kama punguani ila inashangaza na yeye anavyowashambulia mabeberu huku akitumia mitandao yao (Insta, Facebook na X)... ilibidi huyu jasusi pori wa Ufipa atafute mitandao ya kirusi ndo aitumie.
Kwani urusi wanaichukia Israel?
 
Ingawa waisrael watamchukulia Yericko kama punguani ila inashangaza na yeye anavyowashambulia mabeberu huku akitumia mitandao yao (Insta, Facebook na X)... ilibidi huyu jasusi pori wa Ufipa atafute mitandao ya kirusi ndo aitumie.
Wee chawa akili unayo sema unajitetua ( ga) Ili upate uhakika wa kwenda chooni.
 
Hivi mliokwisha nunua vitabu vya yeriko Nyerere Huwa vina madini yoyote?

Maana bei anayouza sawa na mbuzi wawili heri ninunue kitabu Cha jinsi ya kutengeneza sabuni za maji Cha buku2 tu
 
Back
Top Bottom