Zouzoutz
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 1,883
- 2,732
AaahaaAnajifanya mtu wa mizimu ila vitabu vyake haandiki kwa lugha ya kabila lake , jamaa mnafiki kiwango cha lami ...Mda huo kala suti hajavaa ngozi za fisi kama utamaduni wa kwao .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AaahaaAnajifanya mtu wa mizimu ila vitabu vyake haandiki kwa lugha ya kabila lake , jamaa mnafiki kiwango cha lami ...Mda huo kala suti hajavaa ngozi za fisi kama utamaduni wa kwao .
Chawa wa Israeli hawana tofauti na Chawa wa ccm.Mwambieni Yericko Nyerere Israeli siyo Tanzania eti wataendelea kumchekea anavyowachambua huku akionyesha dhahili anawatweza.
Mwambieni Yericko Nyerere alipo hata wa Israeli wapo, wakimwangalia tu.
Mwambieni Yericko Nyerere Israeli hawacheki na huwa si wavumilivu kwa yeyote wanayehisi ni mmoja wa wafurahiao matatizo yao pasi na kujali hali halisi.
Mwambieni Yericko Nyerere Israeli siyo wavumilivu hata kidogo!
Kazi kwake kuamua.
🤣🤣🤣🤣Yerico hana akili ti
Huyu Yericko siyo familia ya Nyerere na kufanya Netanyahu afikirie kwamba Familia ya Nyerere inampiga vita ni jambo ambalo halikubaliki kwetu Familia ya Nyerere.Uyo yeriko ni mtoto wa nyerere au nae ndio wale ambao familia inataka wasitembelee kiki ya jina la baba yao?
Isreal imewekwa na unoMwambieni Yericko Nyerere Israeli siyo Tanzania eti wataendelea kumchekea anavyowachambua huku akionyesha dhahili anawatweza.
Mwambieni Yericko Nyerere alipo hata wa Israeli wapo, wakimwangalia tu.
Mwambieni Yericko Nyerere Israeli hawacheki na huwa si wavumilivu kwa yeyote wanayehisi ni mmoja wa wafurahiao matatizo yao pasi na kujali hali halisi.
Mwambieni Yericko Nyerere Israeli siyo wavumilivu hata kidogo!
Kazi kwake kuamua.
Israel imekuwa CCM ije ihangaike na watu wanaoikosoa? Wao wana deal na mambo makubwa makubwa na siyo wajinga kama CCM.Mwambieni Yericko Nyerere Israeli siyo Tanzania eti wataendelea kumchekea anavyowachambua huku akionyesha dhahili anawatweza.
Mwambieni Yericko Nyerere alipo hata wa Israeli wapo, wakimwangalia tu.
Mwambieni Yericko Nyerere Israeli hawacheki na huwa si wavumilivu kwa yeyote wanayehisi ni mmoja wa wafurahiao matatizo yao pasi na kujali hali halisi.
Mwambieni Yericko Nyerere Israeli siyo wavumilivu hata kidogo!
Kazi kwake kuamua.
Kwani urusi wanaichukia Israel?Ingawa waisrael watamchukulia Yericko kama punguani ila inashangaza na yeye anavyowashambulia mabeberu huku akitumia mitandao yao (Insta, Facebook na X)... ilibidi huyu jasusi pori wa Ufipa atafute mitandao ya kirusi ndo aitumie.
Wee chawa akili unayo sema unajitetua ( ga) Ili upate uhakika wa kwenda chooni.Ingawa waisrael watamchukulia Yericko kama punguani ila inashangaza na yeye anavyowashambulia mabeberu huku akitumia mitandao yao (Insta, Facebook na X)... ilibidi huyu jasusi pori wa Ufipa atafute mitandao ya kirusi ndo aitumie.
Hakunaga swai mwenye lafudhi ile ya kihehe kama sio kibenaAnaitwa Yeriko Swai
Hilo la Nyerere Wenyewe akina Madaraka wamemkataza 🐼
Nitamuoa mkeo kabla hujafa. Tuombeane uzimaWee chawa akili unayo sema unajitetua ( ga) Ili upate uhakika wa kwenda chooni.
Usipojikomba kwa Israel utajikomba kwa nani sasa?punguza kujikomba kwa Israel mkuu
Sasa wewe unasubiri hadi nife wakati watoto wote watano unaowalea ukidhani wako ni wa kwangu. Unabisha? Twende tukapime DNA.Nitamuoa mkeo kabla hujafa. Tuombeane uzima
Nashukuru kufahamu ID yako nyingineSasa wewe unasubiri hadi nife wakati watoto wote watano unaowalea ukidhani wako ni wa kwangu. Unabisha? Twende tukapime DNA.
hatari sn🤣🤣🤣🤣
Dogo nakuamuru jifunze kuheshimu waliokuzidi umri, pesa, elimu na exposure.Nashukuru kufahamu ID yako nyingine
Ulichonizidi ni ujinga tu.Dogo nakuamuru jifunze kuheshimu waliokuzidi umri, pesa, elimu na exposure.
Wee endelea kunikera tu nitakufuatilia hapo ulipo nikukate mfululizo wa makofi ya hatarii.
Sipendi upuzi mimi.
Nyau de adriz