Yericko Nyerere ashinda Tuzo ya Mwandishi Bora wa Vitabu Afrika

Yericko Nyerere ashinda Tuzo ya Mwandishi Bora wa Vitabu Afrika

Kongole sana kwa kutambulika hadi nje ya mipaka

1700400761164-png.2818815


Yericko Nyerere is a well known author from Tanzania who has published 4 books to date. Today, his famous book marks 5 years since being published. Please join me to congratulate him

View: https://m.youtube.com/watch?v=TuoFcm3iPCE
 
Yule Kijana Mwanasiasa bora na Mwenye upeo mkubwa wa fikra za mbali za kimaendeleo na ustawi ameibuka kidedeo kwenye Anga za Kimataifa.

Kijana huyu ambaye anaishi Kigamboni na mkulima wa Bamia amewashangaza wengi.

Inadaiwa moja ya sifa iliomnyanya hadi kuwashinda magwiji wengine wa Africa ni uchambuzi bora alioonesha kwenye vitabu kama vile;

1. Ujasusi wa Kidola na Kiuchumi
2. The Strategy: Road to Power
3. n.k

Hongera sana Mwandishi Yericko Nyerere sisi Wanajamii forum tumejivunia ushindi wako.

Tunaendelea kukuunga mkono ktk kuleta mageuzi kwenye fikra za kimaendeleo.

View: https://youtu.be/uygRjQOG07U?si=fld8I_KQVZodmMD6
 
Yule Kijana Mwanasiasa bora na Mwenye upeo mkubwa wa fikra za mbali za kimaendeleo na ustawi ameibuka kidedeo kwenye Anga za Kimataifa.

Kijana huyu ambaye anaishi Kigamboni na mkulima wa Bamia amewashangaza wengi.

Inadaiwa moja ya sifa iliomnyanya hadi kuwashinda magwiji wengine wa Africa ni uchambuzi bora alioonesha kwenye vitabu kama vile;

1. Ujasusi wa Kidola na Kiuchumi
2. The Strategy: Road to Power
3. n.k

Hongera sana Mwandishi Yericko Nyerere sisi Wanajamii forum tumejivunia ushindi wako.

Tunaendelea kukuunga mkono ktk kuleta mageuzi kwenye fikra za kimaendeleo.

View: https://youtu.be/uygRjQOG07U?si=fld8I_KQVZodmMD6

Amewashinda waandishi wengine nane waliokuwa katika kinyanganyiro hicho.
 

Tuzo hizo zilizoandaliwa na Taasisi ya Tuzo za Zikomo Africa Award ya yenye makao makuu nchini Zambia zimefanyika usiku wa kuamkia leo Jumapili, Novemba 19, 2023 nchini humo.

Mara baada ya kutangazwa mshindi kwa kuwashinda washindani wenzake nane kutoka Botswana, Uganda, Zambia na Zimbabwe, Nyerere amewashukuru Watanzania wote waliompigia kura.

"Asanteni sana Watanzania wote mlionipigia kura, Tanzania imeshinda," amesema Nyerere

Baada ya kutwaa Tuzo hiyo, Nyerere ameikabidhi kwa Balozi wa Tanzania nchini Zambi, Luteni Jenerali Mathew Mkingule aliyekuwapo ukumbini kama ishara ya Itifaki ya Ki-nchi na Balozi akatoa neno la ki-nchi la kumpongeza na kuhamasisha Watanzania wasome na waandike vitabu.

Baadhi ya vitabu alivyoandika ni cha Ujasusi wa Kidola na Kichumi, toleo la 2016, Kitabu cha Mapambano ya Madaraka, toleo la 2017, Kitabu cha Strategy The Road to Power, toleo la 2018 na Kitabu cha Mtu Baada ya Mtu, toleo la 2020.
Mtu baada ya mtu.....nipeni copy
 
Back
Top Bottom