Yericko Nyerere ashinda Tuzo ya Mwandishi Bora wa Vitabu Afrika

 
Hahaaaa Nyerere Licha ya kuwa mwandishi nguli hapa JF anatambulika pia kama Mwanachama wa Chadema. Hilo lina shida gani?
Halina shida ila mbona mnapiga kelele Taifa 🌟 kuhusihwa na CCM?

Kama Yericko (Mtanzania) ni CHADEMA basi usikatae kwamba Taifa 🌟 (Tanzania) ni CCM kwa kuwa CCM na Serikali yake ndiyo iliyoanzisha hii timu.
 
Halina shida ila mbona mnapiga kelele Taifa 🌟 kuhusihwa na CCM?

Kama Yericko (Mtanzania) ni CHADEMA basi usikatae kwamba Taifa 🌟 (Tanzania) ni CCM kwa kuwa CCM na Serikali yake ndiyo iliyoanzisha hii timu.
Unajichanganya
 
Hongera sana kwake,waliokua wanamchukulia poa,labda kwasababu za kichama,kwamba kwasababu yu CHADEMA,hivyo wakawa wanambeza wakijua kaandika mambo ya kuponda labda CCM,ndo wasome sasa,jamaa kaandika nondo,hadi nje ya mipaka,waka-appreciate na kumuweka kwenye list,nasasa ni mshindi.
 
Jamaa anajua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…