Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na amesema atazalisha vipaji vipya na hao ndo right candidates wakeView attachment 3207029
Hao ndiwo wapiga zumali wa bwana Mbowe kwa sasa. Na ndiwo anaowategemea baada ya Uchaguzi watakuwa wasaidizi wake kwenye Chama.
Tafakari.
Ndiyo maana Lema alisema kuna watu Chadema wabaya kuliko hata kina Makonda na Gambo.Yeriko anatia wanachama wenzie hana hata mgambo, huyu angekuwa Waziri wa mambo ya ndani angeua raia wengi sn
Lisu ametusaidia kuwajuaNdiyo maana Lema alisema kuna watu Chadema wabaya kuliko hata kina Makonda na Gambo.
Genge la matapeli tupuInaogopesha mkuu, sema tumechelewa kulitambua hili genge linalopigana kufa kupona kumpitisha Mbowe.
Kulamba miguu ya mtu ili ulaji uendelee kuwepo ni mbaya sana na humtoa mtu ufahamu.
Na mwenye sikio na asikieeHili ni onyo ambalo linatakiwa kuzingatiwa na yoyote asiyependa ulemavu.
Swadakta. Ataeleta ukaidi awe na bima ya afya.Na mwenye sikio na asikiee
CHADEMA kumbe ni genge la wahuni tupu
CCM mshafund kila kitu.Chama kimejipanga na kimewekeza nguvu kubwa kwenye usalama wa eneo la uchaguzi.
View attachment 3207029
Hao ndiwo wapiga zumali wa bwana Mbowe kwa sasa. Na ndiwo anaowategemea baada ya Uchaguzi watakuwa wasaidizi wake kwenye Chama.
Tafakari.
Lissu kazungukwa na waropokaji wasio wapiga kura! Ahahahahaha!!Mbowe amezungukwa na majangili tupu
Naenda kuvunja migongo yenu kama wewe SI mpiga kuraView attachment 3207029
Hao ndiwo wapiga zumali wa bwana Mbowe kwa sasa. Na ndiwo anaowategemea baada ya Uchaguzi watakuwa wasaidizi wake kwenye Chama.
Tafakari.
Halafu wanataka tuendelee kuwaamini kwamba ni wana demokrasia ,CHADEMA imejivua nguo kabisaa kupitia hili , yaan wapo uchiii wa mnyamaView attachment 3207029
Hao ndiwo wapiga zumali wa bwana Mbowe kwa sasa. Na ndiwo anaowategemea baada ya Uchaguzi watakuwa wasaidizi wake kwenye Chama.
Tafakari.
Haya huyo mumeo yupo wapi?Lissu kazungukwa na waropokaji wasio wapiga kura! Ahahahahaha!!