Yericko Nyerere: Kuna kila dalili njema Taifa linarejea kwenye nafasi yake Afrika Mashariki

Mbena kwa sifa humuwezi, wanaamini wanajua sana kuliko binadamu yeyote yule. Halafu kazi za ujasusi wanazipenda sana.
Na pia usisahau kuwa katika vipindi ambavyo idara imefanya kazi katika viwango vya kutukuka, ilikua chini ya uongoz wa watu toka pande za huko huko. Akima emilio mzena, hans kitine, augustine mahiga etc
 
Huyu kilaza mbona analazimisha vitu hata hajawahi kuwa au kufanya kazi taasisi yeyeto ya usalama let alone sungusungu
Na kielimu ni mweupe kaungaunga upupu wa vyeti mitandaoni hata vya TEKU vina thamani
Kanjanja kawakamata sana baadhi ya watu, wanamuamini kama ni mbobezi wa ujasusi!
 
Na pia usisahau kuwa katika vipindi ambavyo idara imefanya kazi katika viwango vya kutukuka, ilikua chini ya uongoz wa watu toka pande za huko huko. Akima emilio mzena, hans kitine, augustine mahiga etc
Well Noted Mkuu....
 
Sasa miaka hiyo na sasa ni tofauti mno. Ubazungumzia post uhuru where tulikua hatuna technological advanced zozote? Basically ndio tulikuwa chekechea kwenye mambo ya kimataifa. While us was waaay advanced. Simtetei but comparisonzon yako is so off
Tofauti ni nini? Niambie ni technology advancement gani tunayo sisi? US wanadukua mawasiliano ya Chancellor wa Ujerumani bila wao kujua sembuse sisi tunaoshindwa kutengeneza hata machine ya kukoboa mahindi.
 
Kuna mahali nimesema ukiwa advanced kudukuliwa ndio basi? Marekani na advancement zao mpaka leo lakin wanadukuliwa na siri zinaibiwa daily? Kuwa advanced haimaanish ni unakuwa hudukuliki

Nchi ime develop kwa kiasi chake kwa uwezo wake, hawawez kufikia level za mataifa makubwa kwa sasa, but atleast threat za kizaman hazifanikiw kwa sasa
Tofauti ni nini? Niambie ni technology advancement gani tunayo sisi? US wanadukua mawasiliano ya Chancellor wa Ujerumani bila wao kujua sembuse sisi tunaoshindwa kutengeneza hata machine ya kukoboa mahindi
 
Hon E President ndiyo nani mkuu?
 
Na hili halina anything with Jipatie Kitabu Changu 80K
 
Unaongea maneno mengi lakini mwishoni umekubali so called advanced technology yetu siyo kitu kwa mataifa makubwa kama hoja yangu ya mwanzo. Ukifikiria hata hiyo teknolojia yenye wamebuni wenye inakuwa ujinga mtupu.
 
Unaongea maneno mengi lakini mwishoni umekubali so called advanced technology yetu siyo kitu kwa mataifa makubwa kama hoja yangu ya mwanzo. Ukifikiria hata hiyo teknolojia yenye wamebuni wenye inakuwa ujinga mtupu.
Nadhani wewe ndio hujaelewa na approach from which angle. Read btn the line man
 
Na pia usisahau kuwa katika vipindi ambavyo idara imefanya kazi katika viwango vya kutukuka, ilikua chini ya uongoz wa watu toka pande za huko huko. Akima emilio mzena, hans kitine, augustine mahiga etc
Hao viongozi, hata wafanyakazi wabena wengi sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…