Yericko Nyerere, tweet yako inaweza kukuletea shida kwanini ina tuhuma nzito kwa muhusika

Nitakushukuru kama ukiniwekea tuhuma hata moja tuu

P
 
Nitakushukuru kama ukiniwekea tuhuma hata moja tuu

P

 
Pasco U DC umeukosa Mkuu,
 
Kwenye kila story ya The Economist, wanaweka jina la mwandishi, kwenye hizo makala kuna yoyote yeye ndie alikuwa mwandishi?.
P
 
Yericko ni TISS, usipoteze muda nae
 
Ukiambiwa father P teuzi za maDC napo wamekusahau,sio fea kabisa.
Wanamteua Mchopanga wanakuacha jembe letu?
 
Acha kuhangaika na Yericko mkuu,he is a stateman!!
 
Paschal Mpaka sasa ajajuaga anataka nini! Anasema alisoma tu kama leasure.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…