fogoh2
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 5,305
- 5,355
Kuuza furniture ,seremalaYesu alkua anafanya biashara Gani???
Sent from my M2006C3MG using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuuza furniture ,seremalaYesu alkua anafanya biashara Gani???
Hata Muhammad alikua anafundisha.kwani mwalimu haruhusiwi kuwa na biashara yakeYesu alikuwa Mwalimu,
Muhammad alikuwa Mfanyabiashara, weka Sawa Kwanza hapo.
na wote walikuwa madalali maana bila wao uwezi kujua dini zao na bila kwenda kwa mungu
Yesu kafanya Sana Biashara ya furniture. Maana hata kazi za kiroho alianza akiwa na takribani miaka27.
Nazareti nzima walimjua Kama fundi. Alikuwa atengenezi vya kutumia. Alikuwa anauza.
Kwa sasa tuseme angekuwa ni wamiliki maduka makubwa ya furniture.
Nalirafuta Hilo andiko mkuu unalo?Jose alikufa baada ya Yesu
Soma kwa umakini na ikibidi tumia simulizi na mapokeo ya mababu.
Marko 6:3Acha utapeli lete hayo maandiko. Unalalamikia utapeli nawe unatutapeli mchana kweupe?
Ilikua anagawa bureMada ya hovyo kuwahi kuchapishwa jf...yesu kauza lini fenicha??
Yesu hajawahi kufanya biashara yoyote na aliwachukia sana,kule hekaluni alitimua wamachinga kwa kupiga teke meza zao,Tujadili kidogo.
Wafanyabiashara wengi Kama sio waislam ni wakristo.
Lakini wengi sio waaminifu. Wanatumia juju na uchawi, wanaforce kupata faida isivyo halali,kukwepa Kodi na kukwepa taratibu rasmi
TATIZO linatoka wapi ikiwa Yesu alikuwa mfanyabiashara wa samani(furniture)lakini hakutenda dhambi?
Mtume Mohammad SAW alikuwa mfanyabiashara muaminifu Sana chini ya Khadija. Akifanya Biashara Kati ya saudia na Syria. Alikuwa amenyooka.
Tunafeli wapi wakuu.
Karibuni
Baba yako akiwa dereva na wewe dereva?Marko 6:3
[3]Huyu si yule seremala, mwana wa Mariamu, na ndugu yao Yakobo, na Yose, na Yuda, na Simoni? Na maumbu yake hawapo hapa petu? Wakajikwaa kwake.
Is not this the carpenter, the son of Mary, the brother of James, and Joses, and of Juda, and Simon? and are not his sisters here with us? And they were offended at him.
Unataka maandiko gani tena mkuu?
Wengine wanakataa kabisa kuwa hakuwa selemalaKwani akiwa selemala automatically anakuwa mfanyabiashara?
mbona unashinda kuelewa vitu rahisi? Kama umeweza kirahisi kuleta mstari wa kuonesha alikuwa selemala, kipi kinakushinda kuonesha sehemu ambayo alikuwa mfanyabiashara?
Ahahhaahna wote walikuwa madalali maana bila wao uwezi kujua dini zao na bila kwenda kwa mungu
Nisome sehemu gani mkuu nipe linkSoma kwa umakini na ikibidi tumia simulizi na mapokeo ya mababu.
Injili inapoanzia hadi Yesu alipopaa.Usome kwa kutulia.
Yesu alikuwa anapenda Sana Biashara. Ila alichukia Sana kufanya Biashara makanisani Kama siku hizi wanauza Hadi kokoto za upako.Yesu hajawahi kufanya biashara yoyote na aliwachukia sana,kule hekaluni alitimua wamachinga kwa kupiga teke meza zao,
Amstari nimempa Marko Kijiji kizima kinamuota Yesu ni selemala. Waliosema ni mtoto wa selemala ni kwenye Mathayo.Wengine wanakataa kabisa kuwa hakuwa selemala
Hahahahahaha
Kuna sehemu kaitwa mwanawa selemala.Baba yako akiwa dereva na wewe dereva?
Ilikuwa family business.🤣🤣🤣
Kisa Yusuph Baba yake alikuwa seremala
Hujui ulisemaloKuna sehemu kaitwa mwanawa selemala.
Mimi nazungunziaMarko inayomuitaDelemala.
Kwa hiyo unadhani Yesu alikuwa idle tu miaka karibu 15 kabla ya kuanza ministry yake?