Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
watu kama ninyi hamkosekani jamii yoyote ileyaan wewe serious hujui tofaut ys r na l;et islael fanya kwanza edit wach uchafu mzee
herode ndie aliyemuuliza hili swali, japo mtoa simulizi hajamtaja huyu mtu(Herode)Pilato alipomuuliza Yesu kuwa 'je wew ndiye mfalme wa wayahudi? ' Yesu alijibu ndio mim ndiye "
Yes ni herode ndie aliyemuuliza Yesu ilo swali na alijibu " ndio mim ndiye "herode ndie aliyemuuliza hili swali, japo mtoa simulizi hajamtaja huyu mtu(Herode)
Nakushukuru kwa kuuelezea uelewa wako katika hili, lakini pia nasikitika kwa vile umetumia uelewa wako kuukandamiza uelewa wangu tena kwa lugha kali, rejea aya ya kwanza kabisa ya uchambuzi wangu mkuu.Mkuu hapo umeandika pumba tupu..is better kama hujui bible ukakaa kimya...unatakiwa usome agano la kale vizur ndo utaelewa agano jipya..hapo utajua kuwa Yesu alikufa kwa sababu za kidini na siasa ilikuwa kama passing code...na hata Leo machafuko yote ya kisiasa yanaongozwa na mapambano ya kidini kat ya Yesu na Shetani ila
siasa ndo battle ground
Hahaha mkuu, tuendelee kusoma na kujifunza kwa kutafakari.Heshima kwako mleta uzi,mie nafarijika sana kwenye maisha yangu ninapokutana na "Great thinker" kama wewe... hakika umeni boost ubongo wangu! mie niruhusu nikuite BUDDHA.
1. Serikali iliyotoa hukumu ya Yesu leo hii haipo na hakuna mamlaka yake hapa duniani, ilianguka na kufutika miaka mingi iliyopita, rejea historia ( The fall of Roman Empire), Italia kama ulivyowatuhumu hawahusiki katika hili.Hakuuuawa kwa sababu za kisiasa bali za kidini.Na ieleweke wazi kuwa waliomwua Yesu SIO WAYAHUDI ni warumi.Askari wa Kirumi (ROMA) ndio waliomwua YesU sio wayahudi.Kitendo cha kuua kilifanywa na warumi
Kisa cha Yesu kuuawa ni kuwa Kulikuwa na wivu mkubwa wa kidini kati yake na viongozi wa dini alizozikuta.Walilalamika kuwa watu wengi wanamfuata yeye na kumsikiliza yeye kuliko wao.Alikuwa na wafuasi wengi kuliko mafarisayo na masadukayo.Wivu huo wa kidini ambao uko hadi leo ambapo dini mbali mbali hupigania kuwa na wafuasi wengi na dini moja ikichukua wafuasi wa dini ingine viongozi hutangaziana vita kama wakati ule wa Yesu na kusulubiana kwa maneno,kejeli,matusi nk
Kesi ya YESU ni aibu kwa fani ya Sheria
Ukiangalia hata mashtaka yake yalianzia ndani ya dini na yalivunja sheria zote.
Kwa mfano ukisoma utashangaa Yesu alikamatwa usiku akiwa akisali kanisani kwake porini akiomba na wanafunzi wake.Walimshika ndani ya kanisa lake na akitekeleza ibada yake na wanafunzi wake.Usiku haukuwa muda wa kazi.Kwa hiyo kisheria haikuwa sahihi kwao.
Pili aliburuzwa kwenye mahakama zao usiku.Katika historia ya sheria hakuna popote mahakama iliwahi fanya vikao vyao usiku mida isiyo ya kazi na majaji wakaendesha kesi
Tatu Kazi ya askari ni kumlinda mtuhumiwa anapopelekwa kwenye mashtaka lakini Yesu alipokuwa akipelekwa mahakamani watu walikuwa wakimzonga ,kumpiga na kumtemea mate mbele ya macho ya askari bila kuchukua hatua zozote
Nne alipokuwa mahakamani Askari walifanya kitendo cha kihuni alipokuwa akihojiwa na Jaji Alipokuwa akijibizana na jaji askari alimzaba kibao Yesu NDANI YA mahakama kazi ambayo si yake.Huyo askari alivunja sheria ya mahakama mbele ya jaji na jaji hakumchukulia hatua wala jeshi lake halikumchukulia hatua.
Tano,hukumu aliyotoa jaji mrumi Ponsio PILATO ilikuwa ya kihuni na haikubaliki kisheria.Alipohukumu aliuliza umati uliokuwepo mahakamani nimfanyie nini Yesu huyu? Umati ukajibu asulubiwe ,asulubiwe na akakubali na kumhukumu.Kisheria Jaji anatakiwa aangalie sheria zinasemaje sio aulize waliohudhuria mahakamani.Katika majaji wajinga waliowahi tokea duniani Ponsio pilato ndio jaji mjinga nambari wani
Sita,aliposulubiwa na kufa Askari maruhuni wa Kirumi WALIGAWANA mavazi yake.Mavazi ni mali ya mtu.Akifa mirathi huwa inatangazwa ili wapatikane warithi kisheria wachukue hizo mali.Lakini za Yesu baada ya kukata roho tu askari wa kirumi waligawiana mirathi pale pale bila kibali cha kisheria.
Nini cha kufanya??? Wakristo waliburuze serikali ya Italia (Waitaliano) iwalipe fidia kwa kumwua mtu wao na wadai mali zile walizogawana bila kibali cha mahakama wazirudishe na riba juu.
Pia waidai serikali ya Italia ambayo ndio iliyoteua ponsio Pilato iilipe fidia wakristo na waiombe ifukue maiti ya Ponsio Pilato ihukumiwe upya na jopo la majaji
Yesu alihukumiwa kufa na jaji mrumi Ponsio Pilato NA akauawa na askari wa Kirumi kwa hiyo warumi wana kesi ya kujibu kuhusiana na kifo cha Yesu
yaan wewe serious hujui tofaut ys r na l;et islael fanya kwanza edit wach uchafu mzee
Hakuuuawa kwa sababu za kisiasa bali za kidini.Na ieleweke wazi kuwa waliomwua Yesu SIO WAYAHUDI ni warumi.Askari wa Kirumi (ROMA) ndio waliomwua YesU sio wayahudi.Kitendo cha kuua kilifanywa na warumi
Kisa cha Yesu kuuawa ni kuwa Kulikuwa na wivu mkubwa wa kidini kati yake na viongozi wa dini alizozikuta.Walilalamika kuwa watu wengi wanamfuata yeye na kumsikiliza yeye kuliko wao.Alikuwa na wafuasi wengi kuliko mafarisayo na masadukayo.Wivu huo wa kidini ambao uko hadi leo ambapo dini mbali mbali hupigania kuwa na wafuasi wengi na dini moja ikichukua wafuasi wa dini ingine viongozi hutangaziana vita kama wakati ule wa Yesu na kusulubiana kwa maneno,kejeli,matusi nk
Kesi ya YESU ni aibu kwa fani ya Sheria
Ukiangalia hata mashtaka yake yalianzia ndani ya dini na yalivunja sheria zote.
Kwa mfano ukisoma utashangaa Yesu alikamatwa usiku akiwa akisali kanisani kwake porini akiomba na wanafunzi wake.Walimshika ndani ya kanisa lake na akitekeleza ibada yake na wanafunzi wake.Usiku haukuwa muda wa kazi.Kwa hiyo kisheria haikuwa sahihi kwao.
Pili aliburuzwa kwenye mahakama zao usiku.Katika historia ya sheria hakuna popote mahakama iliwahi fanya vikao vyao usiku mida isiyo ya kazi na majaji wakaendesha kesi
Tatu Kazi ya askari ni kumlinda mtuhumiwa anapopelekwa kwenye mashtaka lakini Yesu alipokuwa akipelekwa mahakamani watu walikuwa wakimzonga ,kumpiga na kumtemea mate mbele ya macho ya askari bila kuchukua hatua zozote
Nne alipokuwa mahakamani Askari walifanya kitendo cha kihuni alipokuwa akihojiwa na Jaji Alipokuwa akijibizana na jaji askari alimzaba kibao Yesu NDANI YA mahakama kazi ambayo si yake.Huyo askari alivunja sheria ya mahakama mbele ya jaji na jaji hakumchukulia hatua wala jeshi lake halikumchukulia hatua.
Tano,hukumu aliyotoa jaji mrumi Ponsio PILATO ilikuwa ya kihuni na haikubaliki kisheria.Alipohukumu aliuliza umati uliokuwepo mahakamani nimfanyie nini Yesu huyu? Umati ukajibu asulubiwe ,asulubiwe na akakubali na kumhukumu.Kisheria Jaji anatakiwa aangalie sheria zinasemaje sio aulize waliohudhuria mahakamani.Katika majaji wajinga waliowahi tokea duniani Ponsio pilato ndio jaji mjinga nambari wani
Sita,aliposulubiwa na kufa Askari maruhuni wa Kirumi WALIGAWANA mavazi yake.Mavazi ni mali ya mtu.Akifa mirathi huwa inatangazwa ili wapatikane warithi kisheria wachukue hizo mali.Lakini za Yesu baada ya kukata roho tu askari wa kirumi waligawiana mirathi pale pale bila kibali cha kisheria.
Nini cha kufanya??? Wakristo waliburuze serikali ya Italia (Waitaliano) iwalipe fidia kwa kumwua mtu wao na wadai mali zile walizogawana bila kibali cha mahakama wazirudishe na riba juu.
Pia waidai serikali ya Italia ambayo ndio iliyoteua ponsio Pilato iilipe fidia wakristo na waiombe ifukue maiti ya Ponsio Pilato ihukumiwe upya na jopo la majaji
Yesu alihukumiwa kufa na jaji mrumi Ponsio Pilato NA akauawa na askari wa Kirumi kwa hiyo warumi wana kesi ya kujibu kuhusiana na kifo cha Yesu
Ahsante mkuu kwa majibu yako. lakini umenifanya nikuulize tena hii namba 2 na 4.
1 Ikiwa Wayahudi wanamjua Mussa tu mbona kwenye vitabu vya dini vinasema manabii wengi ni Wayahudi?
2 Unasema wametumia adhabu ya msalaba kutokana hio ndio adhabu ya Kirumi, kwahio msalaba ni alama ya Kirumi na sio ya kikristo? ikiwa ndio kwanini sasa iwe alama kuu inayotumika kwenye dini ya kikristo?