Yesu Kristo aliuawa kwa sababu za kisiasa zaidi kuliko za kidini

Yesu Kristo aliuawa kwa sababu za kisiasa zaidi kuliko za kidini

Nitaongelea kipengele kimoja cha wayahudi na waisrael kwa sasa.
katika historia ya makabila yale kumi na mbili (au kumi na tatu) maana kabila la Yusufu liliwakilishwa na wanae wawili, Manase na Efraim, yaligawanyika na kuunda falme mbili. Ufalme wa kusini uliitwa Yudea (Judah) na uliundwa na makabila mawili: Kabila la Yuda na kabila la Benjamin. Nadhani hawa ndio Jews (I stand to be 'collected', sorry..to be corrected).

Makabila mengine kama Asheri, Dani, Gadi, Naftali, Zebuloni, Simeoni, Rubeni, Isakari, Efraimu na Manase yaliunda Ufalme wa Kaskazini ulioitwa Waisrael (Israelites). Inasemekana kabila la Lewi (Walawi) halikuwa na makao maalum, lilisambaa kote kote miongoni mwa makabile yale mengine hivyo halikuwa na mji wake.

Hayo makabila yaliyounda ufalme wa kaskazini ndiyo yalishambuliwa na mnamo karne kama ya nane BC na kuangushwa na watu wote kuchukuliwa mateka na baadaye kuwa integrated kwenye miji mingine ya ufalme wa Ashuru (Assyria) 2Wafalme 17. Hayo ndiyo makabila ya Israel ambayo inasemekana yamepotea maana hawakurudi tena kwenye nchi yao. Kwa maana hiyo, hata wale ambao walikumbana na panga la Hitler, walikuwa wayuda/Jews/Judah people maana wale wengine hawakupata kusikika tena. Nasikia siku hizi kuna juhudi za kutafuta The Lost Tribes of Israel, sijui kama zitafanikiwa.
Mkuu wewe mwalimu Wa biblia nini?
 
Kilicho muua Yesu ni dhambi zetu sisi wanadamu, hapo zamani mfumo wa kusamehe dhami ilikuwa wa kuchinja mnyama aliyenona ili upate msamaha wa dhambi, ila tatizo ni kwamba damu ya mnyama inazifunika tu, ili Mungu asizione.
Kwa hiyo kwa damu ya Yesu dhambi zetu zinasafishwa kama zilikuwa nyekundu kama damu zitakuwa nyeupe kama barafu (dheruji).

Na kuhusu Israel kuwa na wa kristo wachache sababu ni moja tu, ili u nabii utimie, kwamba "Nabii hakubariki nyumbani kwao"
 
Ok!ninavyojua mimi,Yesu aliuawa c kwasababu ya kisiasa wala kidini bali KUTIMIZA KUSUDI LA MUNGU ambalo ni kumwokoa mwanadam na dhambi kwa hyo yote hayo yaliyotendka ni njia ya kutimiza ANIKO TAKATIFU.
 
Maandiko watu wanayosema ndio ushahidi wa kuwa Yesu alisulibishwa kama ilivyopangwa hayapo kwenye Torah. Wenye agano la kale wenyewe (Wayahudi) wanapishana na christianity. Waliokuja kupindisha facts ni wale waliotala kufanya ukristu uenee na kuuchanganya na upagani. Wenye agano la kale hawaamini masihi atasulubishwa na kufufuka. Hakuna mstari huo kwenye original Torah.

Pia in addition to that, according to Torah, the Messiah will:

Ezekiel 37:26-28: Build the Third Temple
Isaiah 43:5-6: Gather all Jews back to the Land of Israel
Isaiah 2:4: Usher in an era of world peace, and end all hatred, oppression, suffering and disease. "Nation shall not lift up sword against nation, neither shall man learn war anymore."
Zechariah 14:9: Spread universal knowledge of the G-d of Israel - uniting the entire human race as one: "G-d will be King over all the world—on that day, G-d will be One and His Name will be One"
Jesus fulfilled none of these messianic prophecies. Additionally:

Jesus was not a prophet. Prophecy could only exist in Israel when the land is inhabited by a majority of world Jewry. During the time of Ezra (~300 BCE) the majority of Jews refused to move from Babylon to Israel, thus prophecy ended upon the death of the last prophets (Haggai, Zechariah and Malachi). Jesus appeared on the scene approximately 350 years after prophecy had ended.
Jesus was not descended from King David. Per Genesis 49:10 and Isaiah 11:1, the Messiah must be descended on his father's side from King David. However, according to the Christian claim that Jesus was the product of a virgin birth, he had no father -- and thus could not have possibly fulfilled the messianic requirement of being descended on his father's side from King David! The Christian idea of a virgin birth is derived from a verse in Isaiah describing an "alma" as giving birth. The word "alma" has always meant a young woman, but Christian theologians came centuries later and translated it as "virgin." This accords Jesus' birth with the first century pagan idea of mortals being impregnated by G-ds.
Tradition teaches that the Messiah will lead the Jewish people to full Torah observance. Deut. 13:1-4 states that all mitzvahs remain binding forever, and anyone coming to change the Torah is immediately identified as a false prophet. Throughout the New Testament, Jesus contradicts the Torah and states its commandments are no longer applicable. (John 1:45 and 9:16, Acts 3:22 and 7:37)
 
Hakuuuawa kwa sababu za kisiasa bali za kidini.Na ieleweke wazi kuwa waliomwua Yesu SIO WAYAHUDI ni warumi.Askari wa Kirumi (ROMA) ndio waliomwua YesU sio wayahudi.Kitendo cha kuua kilifanywa na warumi

Kisa cha Yesu kuuawa ni kuwa Kulikuwa na wivu mkubwa wa kidini kati yake na viongozi wa dini alizozikuta.Walilalamika kuwa watu wengi wanamfuata yeye na kumsikiliza yeye kuliko wao.Alikuwa na wafuasi wengi kuliko mafarisayo na masadukayo.Wivu huo wa kidini ambao uko hadi leo ambapo dini mbali mbali hupigania kuwa na wafuasi wengi na dini moja ikichukua wafuasi wa dini ingine viongozi hutangaziana vita kama wakati ule wa Yesu na kusulubiana kwa maneno,kejeli,matusi nk

Kesi ya YESU ni aibu kwa fani ya Sheria

Ukiangalia hata mashtaka yake yalianzia ndani ya dini na yalivunja sheria zote.
Kwa mfano ukisoma utashangaa Yesu alikamatwa usiku akiwa akisali kanisani kwake porini akiomba na wanafunzi wake.Walimshika ndani ya kanisa lake na akitekeleza ibada yake na wanafunzi wake.Usiku haukuwa muda wa kazi.Kwa hiyo kisheria haikuwa sahihi kwao.

Pili aliburuzwa kwenye mahakama zao usiku.Katika historia ya sheria hakuna popote mahakama iliwahi fanya vikao vyao usiku mida isiyo ya kazi na majaji wakaendesha kesi

Tatu Kazi ya askari ni kumlinda mtuhumiwa anapopelekwa kwenye mashtaka lakini Yesu alipokuwa akipelekwa mahakamani watu walikuwa wakimzonga ,kumpiga na kumtemea mate mbele ya macho ya askari bila kuchukua hatua zozote

Nne alipokuwa mahakamani Askari walifanya kitendo cha kihuni alipokuwa akihojiwa na Jaji Alipokuwa akijibizana na jaji askari alimzaba kibao Yesu NDANI YA mahakama kazi ambayo si yake.Huyo askari alivunja sheria ya mahakama mbele ya jaji na jaji hakumchukulia hatua wala jeshi lake halikumchukulia hatua.

Tano,hukumu aliyotoa jaji mrumi Ponsio PILATO ilikuwa ya kihuni na haikubaliki kisheria.Alipohukumu aliuliza umati uliokuwepo mahakamani nimfanyie nini Yesu huyu? Umati ukajibu asulubiwe ,asulubiwe na akakubali na kumhukumu.Kisheria Jaji anatakiwa aangalie sheria zinasemaje sio aulize waliohudhuria mahakamani.Katika majaji wajinga waliowahi tokea duniani Ponsio pilato ndio jaji mjinga nambari wani

Sita,aliposulubiwa na kufa Askari maruhuni wa Kirumi WALIGAWANA mavazi yake.Mavazi ni mali ya mtu.Akifa mirathi huwa inatangazwa ili wapatikane warithi kisheria wachukue hizo mali.Lakini za Yesu baada ya kukata roho tu askari wa kirumi waligawiana mirathi pale pale bila kibali cha kisheria.

Nini cha kufanya??? Wakristo waliburuze serikali ya Italia (Waitaliano) iwalipe fidia kwa kumwua mtu wao na wadai mali zile walizogawana bila kibali cha mahakama wazirudishe na riba juu.

Pia waidai serikali ya Italia ambayo ndio iliyoteua ponsio Pilato iilipe fidia wakristo na waiombe ifukue maiti ya Ponsio Pilato ihukumiwe upya na jopo la majaji

Yesu alihukumiwa kufa na jaji mrumi Ponsio Pilato NA akauawa na askari wa Kirumi kwa hiyo warumi wana kesi ya kujibu kuhusiana na kifo cha Yesu

Uchambuzi bora kabisa na pia mawazo pevu kwa aliyeanzisha thread na like yangu nimekupa, ila kwa masharti ama kwa kusema suala la dini na historia ya Yesu kristo ukianza kuichambua unatakiwa kujijua mimi nipo katika kada gani.

Unaweza ukawa mwanasheria ukachambua na mawazo yako unaweza ukawa na mtizamo wa kisheria tu, kama wewe ulivyo mrengo huo. Mshika dini au muelewa mafundisho yake akawa na mtazamo wake na mwingine na mwingine.

Hivyo hivyo mwingine na mwingine cha msingi Mungu atupe uelewa na tafakari yake tupate kulielewa neno lake kulishika na kutembea katikati yake

Penda sana Ukristo
 
Safi sana ndugu... inaonekana ni kweli Yesu aliuliwa kwasababu za kisiasa zaidi,kuliko kidini kama tulivyolishwa tango pori... kwasababu hata mie hua najiulizaga iweje israel iwe na wakristo wachache zaidii kuliko Mbeya?

Hahaha Mkuu you made my day matangori kutoka msitu wa mabwepande nini
 
Kwa uelewa wako na huyu Herode tunamsikia na kumsoma yeye alikuwa nani katika utawala wa kirumi, na jeeh alihusika vipi katika hukumu ya Yesu Kristo King Octavian

Ni kweli Herod Antipas ametajwa katika hukumu ya kifo cha yesu, amezungumzwa na kitabu cha Luka, huyu alikua mfalme wa Galilaya biblia inatuambia siku yesu alipopelekwa kwa Pilato, Herod alikuwepo katika jimbo la Yudea, Galilaya ilikua sehem ambayo Warumi waliacha mikononi mwa mfalme Herod aitawale.

Herod alihusika vipi katika hukumu ya Yesu?
Baada ya Pilato kumkuta yesu hana hatia, ilimbidi ajivue na kuwaambia Wayahudi waliompeleka, kwamba mpelekeni kwa Herod maana mtu huyu ni mzaliwa wa Galilaya sehemu ambayo ni himaya yake, Yesu alipofikishwa kwa Herod baada ya kumhoji kwa kumdhihaki pia alimkuta hana hatia, akaamuru Yesu arudishwe tena kwa Pilato.

Kwa uelewa wako na huyu Herode tunamsikia na kumsoma yeye alikuwa nani katika utawala wa kirumi, na jeeh alihusika vipi katika hukumu ya Yesu Kristo King Octavian
 
Kwenye hii post ni kwamba ume lack kitu kimoja tu.. Kufa kwa yesu ilikuwa ni inevitable kwa ajili ya ukombozi wa mwanadamu hilo ndilo lilikuwa kusudi la Mungu. Hapa umeongelea zaidi kusudi la binadamu ila sisi wakristo tunaamini katika kusudi la Mungu kwa hiyo ndo utafauti uliopo. Kwa hiyo kusudi la binadamu kwetu ni irrelevant hata lingekuwa ni nini yaani halina maana yeyote katika ufalme wa Mungu. Mungu alimtoa mwana wake wa pekee ili ulimwengu usipotee. Na Kufa kwa ajili ya dhambi zetu ilikuwa ni kutimiza kusudio la Mungu. Kwa hiyo kwa wayahudi inawezekana wao walikuwa na sababu zao ila machoni mwa Mungu sababu kuu ni kufia dhambi zetu..Kwa hiyo huu uchambuzi una relevance kwenye historia lakini hauna umuhimu kwenye upande wa imani
 
Kwenye hii post ni kwamba ume lack kitu kimoja tu.. Kufa kwa yesu ilikuwa ni inevitable kwa ajili ya ukombozi wa mwanadamu hilo ndilo lilikuwa kusudi la Mungu. Hapa umeongelea zaidi kusudi la binadamu ila sisi wakristo tunaamini katika kusudi la Mungu kwa hiyo ndo utafauti uliopo. Kwa hiyo kusudi la binadamu kwetu ni irrelevant hata lingekuwa ni nini yaani halina maana yeyote katika ufalme wa Mungu. Mungu alimtoa mwana wake wa pekee ili ulimwengu usipotee. Na Kufa kwa ajili ya dhambi zetu ilikuwa ni kutimiza kusudio la Mungu. Kwa hiyo kwa wayahudi inawezekana wao walikuwa na sababu zao ila machoni mwa Mungu sababu kuu ni kufia dhambi zetu..Kwa hiyo huu uchambuzi una relevance kwenye historia lakini hauna umuhimu kwenye upande wa imani
Mhhhh iman hizi
 
Kweli ujinga ni mzigo! Yaani ulichokiona katika makala nzima ni Editting ya maneno tu! Ama kweli kwetu kuna methali moja inayosema, "Ninakuonyesha mwezi unavyong'aa, wewe unachoona ni kidole changu tu"!
So ujinga bali individual differences
 
Kilicho muua Yesu ni dhambi zetu sisi wanadamu, hapo zamani mfumo wa kusamehe dhami ilikuwa wa kuchinja mnyama aliyenona ili upate msamaha wa dhambi, ila tatizo ni kwamba damu ya mnyama inazifunika tu, ili Mungu asizione.
Kwa hiyo kwa damu ya Yesu dhambi zetu zinasafishwa kama zilikuwa nyekundu kama damu zitakuwa nyeupe kama barafu (dheruji).

Na kuhusu Israel kuwa na wa kristo wachache sababu ni moja tu, ili u nabii utimie, kwamba "Nabii hakubariki nyumbani kwao"
Nzuri likini reference inatakiwa kwa kuwa akina Tomaso no wengi
 
Mtoa mada umefanya uchambuzi mzuri sana! Ninchokikosa ni hitimisho ( conclusion) kwa kuwa wakristo huamini kuwa Yesu alisulubiwa kwa ajili ya dhambi ya mwanadamu na kama ishara ya ukombozi je unawaambia nini? Yawezekana pia umetoa uhuru kwa kila mmoja kufanya hitimisho lake. Natafakari bado uzi wako.
 
Hakuuuawa kwa sababu za kisiasa bali za kidini.Na ieleweke wazi kuwa waliomwua Yesu SIO WAYAHUDI ni warumi.Askari wa Kirumi (ROMA) ndio waliomwua YesU sio wayahudi.Kitendo cha kuua kilifanywa na warumi

Kisa cha Yesu kuuawa ni kuwa Kulikuwa na wivu mkubwa wa kidini kati yake na viongozi wa dini alizozikuta.Walilalamika kuwa watu wengi wanamfuata yeye na kumsikiliza yeye kuliko wao.Alikuwa na wafuasi wengi kuliko mafarisayo na masadukayo.Wivu huo wa kidini ambao uko hadi leo ambapo dini mbali mbali hupigania kuwa na wafuasi wengi na dini moja ikichukua wafuasi wa dini ingine viongozi hutangaziana vita kama wakati ule wa Yesu na kusulubiana kwa maneno,kejeli,matusi nk

Kesi ya YESU ni aibu kwa fani ya Sheria

Ukiangalia hata mashtaka yake yalianzia ndani ya dini na yalivunja sheria zote.
Kwa mfano ukisoma utashangaa Yesu alikamatwa usiku akiwa akisali kanisani kwake porini akiomba na wanafunzi wake.Walimshika ndani ya kanisa lake na akitekeleza ibada yake na wanafunzi wake.Usiku haukuwa muda wa kazi.Kwa hiyo kisheria haikuwa sahihi kwao.

Pili aliburuzwa kwenye mahakama zao usiku.Katika historia ya sheria hakuna popote mahakama iliwahi fanya vikao vyao usiku mida isiyo ya kazi na majaji wakaendesha kesi

Tatu Kazi ya askari ni kumlinda mtuhumiwa anapopelekwa kwenye mashtaka lakini Yesu alipokuwa akipelekwa mahakamani watu walikuwa wakimzonga ,kumpiga na kumtemea mate mbele ya macho ya askari bila kuchukua hatua zozote

Nne alipokuwa mahakamani Askari walifanya kitendo cha kihuni alipokuwa akihojiwa na Jaji Alipokuwa akijibizana na jaji askari alimzaba kibao Yesu NDANI YA mahakama kazi ambayo si yake.Huyo askari alivunja sheria ya mahakama mbele ya jaji na jaji hakumchukulia hatua wala jeshi lake halikumchukulia hatua.

Tano,hukumu aliyotoa jaji mrumi Ponsio PILATO ilikuwa ya kihuni na haikubaliki kisheria.Alipohukumu aliuliza umati uliokuwepo mahakamani nimfanyie nini Yesu huyu? Umati ukajibu asulubiwe ,asulubiwe na akakubali na kumhukumu.Kisheria Jaji anatakiwa aangalie sheria zinasemaje sio aulize waliohudhuria mahakamani.Katika majaji wajinga waliowahi tokea duniani Ponsio pilato ndio jaji mjinga nambari wani

Sita,aliposulubiwa na kufa Askari maruhuni wa Kirumi WALIGAWANA mavazi yake.Mavazi ni mali ya mtu.Akifa mirathi huwa inatangazwa ili wapatikane warithi kisheria wachukue hizo mali.Lakini za Yesu baada ya kukata roho tu askari wa kirumi waligawiana mirathi pale pale bila kibali cha kisheria.

Nini cha kufanya??? Wakristo waliburuze serikali ya Italia (Waitaliano) iwalipe fidia kwa kumwua mtu wao na wadai mali zile walizogawana bila kibali cha mahakama wazirudishe na riba juu.

Pia waidai serikali ya Italia ambayo ndio iliyoteua ponsio Pilato iilipe fidia wakristo na waiombe ifukue maiti ya Ponsio Pilato ihukumiwe upya na jopo la majaji

Yesu alihukumiwa kufa na jaji mrumi Ponsio Pilato NA akauawa na askari wa Kirumi kwa hiyo warumi wana kesi ya kujibu kuhusiana na kifo cha Yesu

Hapo kwenye red mkuu siwezi ongea sana bali naheshimu mawazo yako.
 
Mtoa mada umefanya uchambuzi mzuri sana! Ninchokikosa ni hitimisho ( conclusion) kwa kuwa wakristo huamini kuwa Yesu alisulubiwa kwa ajili ya dhambi ya mwanadamu na kama ishara ya ukombozi je unawaambia nini? Yawezekana pia umetoa uhuru kwa kila mmoja kufanya hitimisho lake. Natafakari bado uzi wako.
Ndiyo mkuu, nimeacha nafasi tujadili kwa pamoja kila mmoja aelezee mawazo yake juu ya hili, na pia yeyote anaweza kutoa hitimisho.
 
Mkuu hapo umeandika pumba tupu..is better kama hujui bible ukakaa kimya...unatakiwa usome agano la kale vizur ndo utaelewa agano jipya..hapo utajua kuwa Yesu alikufa kwa sababu za kidini na siasa ilikuwa kama passing code...na hata Leo machafuko yote ya kisiasa yanaongozwa na mapambano ya kidini kat ya Yesu na Shetani ila
siasa ndo battle ground
Bro, wenzio wanatumia busara kumkosoa mtu..hayo ni mawazo yake, acha dharau na tumia lugha nzuri tu kujadili mada yake.
 
Hakuuuawa kwa sababu za kisiasa bali za kidini.Na ieleweke wazi kuwa waliomwua Yesu SIO WAYAHUDI ni warumi.Askari wa Kirumi (ROMA) ndio waliomwua YesU sio wayahudi.Kitendo cha kuua kilifanywa na warumi

Kisa cha Yesu kuuawa ni kuwa Kulikuwa na wivu mkubwa wa kidini kati yake na viongozi wa dini alizozikuta.Walilalamika kuwa watu wengi wanamfuata yeye na kumsikiliza yeye kuliko wao.Alikuwa na wafuasi wengi kuliko mafarisayo na masadukayo.Wivu huo wa kidini ambao uko hadi leo ambapo dini mbali mbali hupigania kuwa na wafuasi wengi na dini moja ikichukua wafuasi wa dini ingine viongozi hutangaziana vita kama wakati ule wa Yesu na kusulubiana kwa maneno,kejeli,matusi nk

Kesi ya YESU ni aibu kwa fani ya Sheria

Ukiangalia hata mashtaka yake yalianzia ndani ya dini na yalivunja sheria zote.
Kwa mfano ukisoma utashangaa Yesu alikamatwa usiku akiwa akisali kanisani kwake porini akiomba na wanafunzi wake.Walimshika ndani ya kanisa lake na akitekeleza ibada yake na wanafunzi wake.Usiku haukuwa muda wa kazi.Kwa hiyo kisheria haikuwa sahihi kwao.

Pili aliburuzwa kwenye mahakama zao usiku.Katika historia ya sheria hakuna popote mahakama iliwahi fanya vikao vyao usiku mida isiyo ya kazi na majaji wakaendesha kesi

Tatu Kazi ya askari ni kumlinda mtuhumiwa anapopelekwa kwenye mashtaka lakini Yesu alipokuwa akipelekwa mahakamani watu walikuwa wakimzonga ,kumpiga na kumtemea mate mbele ya macho ya askari bila kuchukua hatua zozote

Nne alipokuwa mahakamani Askari walifanya kitendo cha kihuni alipokuwa akihojiwa na Jaji Alipokuwa akijibizana na jaji askari alimzaba kibao Yesu NDANI YA mahakama kazi ambayo si yake.Huyo askari alivunja sheria ya mahakama mbele ya jaji na jaji hakumchukulia hatua wala jeshi lake halikumchukulia hatua.

Tano,hukumu aliyotoa jaji mrumi Ponsio PILATO ilikuwa ya kihuni na haikubaliki kisheria.Alipohukumu aliuliza umati uliokuwepo mahakamani nimfanyie nini Yesu huyu? Umati ukajibu asulubiwe ,asulubiwe na akakubali na kumhukumu.Kisheria Jaji anatakiwa aangalie sheria zinasemaje sio aulize waliohudhuria mahakamani.Katika majaji wajinga waliowahi tokea duniani Ponsio pilato ndio jaji mjinga nambari wani

Sita,aliposulubiwa na kufa Askari maruhuni wa Kirumi WALIGAWANA mavazi yake.Mavazi ni mali ya mtu.Akifa mirathi huwa inatangazwa ili wapatikane warithi kisheria wachukue hizo mali.Lakini za Yesu baada ya kukata roho tu askari wa kirumi waligawiana mirathi pale pale bila kibali cha kisheria.

Nini cha kufanya??? Wakristo waliburuze serikali ya Italia (Waitaliano) iwalipe fidia kwa kumwua mtu wao na wadai mali zile walizogawana bila kibali cha mahakama wazirudishe na riba juu.

Pia waidai serikali ya Italia ambayo ndio iliyoteua ponsio Pilato iilipe fidia wakristo na waiombe ifukue maiti ya Ponsio Pilato ihukumiwe upya na jopo la majaji

Yesu alihukumiwa kufa na jaji mrumi Ponsio Pilato NA akauawa na askari wa Kirumi kwa hiyo warumi wana kesi ya kujibu kuhusiana na kifo cha Yesu
ahaa..bro acha masikhara bwana, Wakristo wawadai waitali kwa kuuliwa mtu wao??.. kwa nini sasa wakati kifo cha Yesu ni furaha kwa Wakristo? Au nakosea? Si kifo chake ndiyo WOKOVU na kuwekwa huru na dhambi?
 
QUOTE="Jindal Singh, post: 17535431, member: 324449"]Mkuu umekosea hapo uliposema kwa sababu ya siasa na wala sio dini.

Dini maana yake ni njia ya maisha (way of life) humo kuna kila kitu kuna elimu, afya,siasa,uchumi, sheria n.k

Siasa maana yake ni kusimamia watu hapa tunasema utawala. Siasa neno la kiarabu lililotokana na neno siyasiya.
Hivyo unapotofautisha siasa na dini utakuwa unalisha watu matango pori.[/QUOTE]bro, kumbuka dini=way of life ni katika mtazamo wa kiislamu, wakristo hawa define dini hivo.
 
Back
Top Bottom