MWANZO 1:26--MUNGU akasema na tumfanye mtu kwa mfano wetu,kwa sura yetu,wakatawale samaki wa baharini;na ndege wa angani,na wanyama na nchi yote pia,na kila chenye kutambaa kitambaacho juu ya nchi.Lete ushahidi
Ushahidi huo kwenye biblia au msahafu, weka waziMWANZO 1:26--MUNGU akasema na tumfanye mtu kwa mfano wetu,kwa sura yetu,wakatawale samaki wa baharini;na ndege wa angani,na wanyama na nchi yote pia,na kila chenye kutambaa kitambaacho juu ya nchi.
27. MUNGU akaumba mtu kwa mfano wake,kwa mfano wa MUNGU alimwuumba MWANAMUME,na mwanamke aliwaumba
Hujielewi wewe ngoja nikupotezee.yani hapo hata hujui hicho ni kitabu gani.hatuwezi elewana,wasalimie nyumbani kwenuUshahidi huo kwenye biblia au msahafu, weka wazi
Mimi najua Qur-an, na kama ukisema Qur-an sura Ya mwanzo ina aya saba tuHujielewi wewe ngoja nikupotezee.yani hapo hata hujui hicho ni kitabu gani.hatuwezi elewana,wasalimie nyumbani kwenu
Yaani biblia imemfunua mungu ,kazi ipo .
Mungu kashindwa kujifunua.
Jibu yale maswali niliyokuuliza
Ukisoma kwa uelewa injili na ukaelewa maana ya injili huwezi Kuuliza swali kama hili la kitoto. Soma injili ya Yohana sura ya1:1-9 na haya14naye neno akawa mwanadamu akakaa kwetu, nasi tumeuona utukufu wake...Lete aya moja tu yesu anasema mimi ni mungu
Siwashangai mnaabudu sanamu pia biblia inasema amelaaniwa anae sulubiwa msalabani kwani hamna akili eti mnamsubiri atarudi mnachekesha sananyie marainaa mnachekesha kweli [emoji15] mnaabudu kiumbe anae Apia kwa [emoji117] aliyeumba dhakar na Ku&%$# (waa mahaqa dhakar al unnsa) afu mnamuita Mungu na kumsujudia hadi usoni kovu kama kifuu [emoji13]
Uelewa wako mdogo ndio maana unasema hivyo na Unakuwa mjuaji. Wapi Mungu kasema Mohamed ni mtume wake.?Yaani biblia imemfunua mungu ,kazi ipo .
Mungu kashindwa kujifunua.
Jibu yale maswali niliyokuuliza
Kweli mnafikiria kwa makalionyie marainaa mnachekesha kweli [emoji15] mnaabudu kiumbe anae Apia kwa [emoji117] aliyeumba dhakar na Ku&%$# (waa mahaqa dhakar al unnsa) afu mnamuita Mungu na kumsujudia hadi usoni kovu kama kifuu [emoji13]
Mungu wako ambaye uwezo wake una ukomo hawezi hayo Mungu tunayemwamini kila kitu kinawezekana sio lazima ukitaka kuswali umtafute kasikazini wa kwetu yupo kila mahali.Yesu hawezi kuwa Mungu, ila ni mjumbe kutoka kwa Mungu ili kuwaongoza watu wapite katika njia ilioonyooka (haki).
Mungu hawezi kusulubiwa na wale aliowaumba
Sio dunia nzima wanaoelekea kaskazini, China wanaoelekea mashariki, ulaya wanaoelekea kusini, kama huujui uislamu usi uzungumze utakuja kujutiaMungu wako ambaye uwezo wake una ukomo hawezi hayo Mungu tunayemwamini kila kitu kinawezekana sio lazima ukitaka kuswali umtafute kasikazini wa kwetu yupo kila mahali.
Quran 48:29Uelewa wako mdogo ndio maana unasema hivyo na Unakuwa mjuaji. Wapi Mungu kasema Mohamed ni mtume wake.?
mungu atakuwa kuzimu wanakoinamia.Quran 48:29
Muhammad ni Mtume wa Mwenyezi Mungu. Na walio pamoja naye wana nguvu mbele ya makafiri, na wanahurumiana wao kwa wao. Utawaona wakiinama na kusujudu wakitafuta fadhila na radhi za Mwenyezi Mungu. Alama zao zi katika nyuso zao, kwa athari ya kusujudu. Huu ndio mfano wao katika Taurati. Na mfano wao katika Injili ni kama mmea ulio toa chipukizi lake, kisha ukalitia nguvu, ukawa mnene, ukasimama sawa juu ya ubuwa wake, ukawafurahisha wakulima, ili kuwakasirisha kwa ajili yao makafiri. Mwenyezi Mungu amewaahidi walio amini na wakatenda mema katika wao msamaha na ujira mkubwa
Hapa vipi linatekelezwa hili andiko Upande wenu?Mungu wako ambaye uwezo wake una ukomo hawezi hayo Mungu tunayemwamini kila kitu kinawezekana sio lazima ukitaka kuswali umtafute kasikazini wa kwetu yupo kila mahali.
Ni maneno ya anaye apa kwa aliyeumba mbingu na ardhi?Quran 48:29
Muhammad ni Mtume wa Mwenyezi Mungu. Na walio pamoja naye wana nguvu mbele ya makafiri, na wanahurumiana wao kwa wao. Utawaona wakiinama na kusujudu wakitafuta fadhila na radhi za Mwenyezi Mungu. Alama zao zi katika nyuso zao, kwa athari ya kusujudu. Huu ndio mfano wao katika Taurati. Na mfano wao katika Injili ni kama mmea ulio toa chipukizi lake, kisha ukalitia nguvu, ukawa mnene, ukasimama sawa juu ya ubuwa wake, ukawafurahisha wakulima, ili kuwakasirisha kwa ajili yao makafiri. Mwenyezi Mungu amewaahidi walio amini na wakatenda mema katika wao msamaha na ujira mkubwa
Anayeapa na aliyelaanika ni yupi aliyebora? Ibilis alilaaniwa na Mungu na Yesu pia kalaaniwa (kafanywa kuwa laana)ibilis=yesuNi maneno ya anaye apa kwa aliyeumba mbingu na ardhi?
Siwashangai mnaabudu sanamu pia biblia inasema amelaaniwa anae sulubiwa msalabani kwani hamna akili eti mnamsubiri atarudi mnachekesha sana
Unetegwa mtego ukaingia kichwakichwa. Ndo uelewe kwamba Quran haijawahi kumkashifu Yesu hata aya moja. Huyo mkuu hapo juu ame quote Biblia.....ndiyo inayosema kifo cha kutungikwa mtini ni laana!!!! Sasa nashangaa unatumia Quran kuonesha kuwa Yesu hakulaaniwa!!!!! Unachekesha sana aisee. Badala ya kulaumu biblia kwanini imemlaani Yesu badala yake unahangaika na Allah na Muhammad!!! Duuuuu pole.......Anaechekesha zaidi ni allah na muham mad waliosema masihi ana sifa duniani mpaka ahera...unatumia kiungo gani ktk kutafakari??? komwe?! Hivi mlaaniwa anaweza kuwa na sifa duniani na ahera? laanatulahi...