Yesu si Mungu, Paulo ana kesi ya kujibu

Status
Not open for further replies.
Ingekuwa yesu Mungu wakristo wote msingekufa, kwani mnaogopa kufa

Aliye kwambia Mkristo anakufaga ñani?..kachukue udhu wewe...hasira za kutandikwa bakora za makalio ukiwa kitandani kama alivyo àgiza Allah ndo unaleta humu?¿
 
esteni in kigezo chako au sio..ndio sababu Muhammad alisema mbuguma akili zao ndogo....


wewe mwenye akili kubwa kanisa lako linakuambia

It is recorded in the Catholic Encyclopedia.

An appreciation of the clerical mindset arises when the Church itself admits that it does not know who wrote its Gospels and Epistles, confessing that all 27 New Testament writings began life anonymously:

"It thus appears that the present titles of the Gospels are not traceable to the evangelists themselves ... they [the New Testament collection] are supplied with titles which, however ancient, do not go back to the respective authors of those writings." (Catholic Encyclopedia, Farley ed., vol. vi, pp. 655-6)


The Church maintains that "the titles of our Gospels were not intended to indicate authorship", adding that "the headings ... were affixed to them" (Catholic Encyclopedia, Farley ed., vol. i, p. 117, vol. vi, pp. 655, 656). Therefore they are not Gospels written "according to Matthew, Mark, Luke or John", as publicly stated.

The full force of this confession reveals that there are no genuine apostolic Gospels, and that the Church's shadowy writings today embody the very ground and pillar of Christian foundations and faith.

The consequences are fatal to the pretence of Divine origin of the entire New Testament and expose Christian texts as having no special authority.

For centuries, fabricated Gospels bore Church certification of authenticity now confessed to be false, and this provides evidence that Christian writings are wholly fallacious.
 

NI KWELI YESU SIO MUNGU KAMA VILE MOHAMMAD IBN ABDULLAT ASIVYO MTUME. AMBAE NI MUHUNI, MALAYA, MBAKAJI NA MUUWAJI MKUBWA. MOHAMMED ANA KESI YA KUJIBU YA MAUAJI YA KINYAMA
 
Kwahili unaweza kusoma sana lakini hukuelimika;;;;; Niwachache xna wanaelewa hilo![emoji23][emoji23];; Ila ilishaandikwa WANA MACHO hawaoni;;[emoji23] So nikazi ngumu xna kuwaelewesha wakaelewa!![emoji23]. (Yesu si mungu na Mungu si yesu)
 
Aliye kwambia Mkriuto anakufaga ñani?..kachukue udhu wewe...hasira za kutandikwa bakora za makalio ukiwa kitandani kama alivyo àgiza Allah ndo unaleta humu?¿

Kumbe wewe ni Mkriuto

MIZANI YA IMANI YA WAKRISTO

Bwana Yesu Kristo alieleza mizani na alama za imani kama ifuatavyo:

1. Mkiwa na imani ya punje ya haridali, mtauambia mlima huu, ondoka hapa nenda kule, nao utaondoka; wala halitakuwapo neno lisilowezekana kwenu. (Mathayo17:20; 21:21; Marko 11:22-23, 9:23, Luka 17:6, 12, 13).

2. Bwana akasema: “Kama mngekua na imani kiasi cha chembe ya haridali mngeuambia mkuyu huu, ng'oka, ukapandwe baharini, nao ungewatii.” (Luka 17:7).

3. Yesu akajibu, akawaambia, Amin, nawaambia mkiwa na imani , msipokuwa na shaka, mtafanya si hilo la mtini tu, lakini hata mkiuambia mlima huu, ngo'ka ukatupwe baharini, litatendeka. na yoyote mtakayoyaomba katika sala mkiamini, mtapokea. (Mathayo 21:21-22)

4. Amin, Amin, nawaambieni, yeye aniaminiye mimi, kazi nizifanyazo mimi, yeye naye atazifanya; naam, na kubwa kuliko hizo atafanya, kwani mimi naenda kwa Baba. (Yohana 14:12-13).

5. Ninyi mkikaa ndani yangu, na maneno yangu yakikaa ndani yenu, ombeni mtakalo lolote nanyi
mtatendewa. (Yohana 15:7).

6. Tena nawaambia, wawili wenu mtakapopatana duniani katika jambo lolote watakalo liomba,
watafanyiwa na Baba yangu aliye mbinguni. (Mathayo 7:3-12).

7. Ombeni nanyi mtapewa.... (Mathayo 7:3-12). Katika mizani hii ya imani ya Wakristo, tumejua
kwamba Mkristo atatambulika kwa alama zilizotajwa hapo juu. Tena hizi ni alama za imani ndogo sana ya chembe ya haridali. Lakini kama Mkristo atakuwa na imani kubwa ataweza kuonesha miujiza mikubwa zaidi.

Vilevile Mkristo mwenye imani ni yule ambaye ataweza kuonesha miujiza na hasa sawa na ya Bwana Yesu bali mikubwa zaidi kuliko yake.

Tutafute miujiza ya Bwana Yesu katika Biblia, tumeona baadhi yao kama ifuatavyo:

1. Kuponya wagonjwa (Mathayo 8:16, 9:22, na 15:21).

2. Kuponya walemavu (Mathayo 8:1-3).

3. Kuponya mabubu. (Mathayo 9:3-7; 12-22).

4. Kuponya mwenye kupooza upande mmoja (kiarusi) (Mathayo 8:5-13. 9:1-7, 12:22).

5. Kumponya mwenye kifafa. (Mathayo 17:14-19).

6. Kuponya mkono wenye ukoma. (Mathayo 12:15).

7. Kuponya mgongo uliopinda (Kibyongo) (Luka 13:10).

8. Kuwafufua wafu. (Mathayo 9:24).

9. Kugeuza maji kuwa pombe. (Yohana 2:1-9).

10. Chakula kidogo kitoshe watu elfu tano. (Mathayo 14:13-21).

11. Kutembea juu ya maji. (Mathayo 14:22-23).

12. Kuzuia tufani . ( Mathayo 8:23-33).

Hapa nimetoa baadhi ya mifano tu ya miujiza ya Bwana Yesu.

Kama Wakristo hawawezi kuonesha miujiza ya aina hii au alama ya imani yao sawa na Biblia, basi
mambo mawili yanathibitika.

A. Bwana Yesu pia hakuonesha mujiza wowote bali ni hadithi za kutungwa tu zisizo na ukweli ndani yake.

B. Siku hizi Mkristo yeyote hana imani sawa na chembe ya haridali, bali wote wameshapotea tayari na hawana alama au dalili yoyote ya imani.

Hali hizi zote mbili ni mbaya sana na za kutisha.


Tunawapa Wakristo (challenge) kwamba kama wanayo imani sawa na chembe ya haridali, watuoneshe miujiza iliyotajwa hapo juu.

Mkristo mmoja au wawili au wajumuike wote, tunataka kuona miujiza tu ya imani yao, hata Pope ajitokeze.
 
Mungu ni mmoja, na haki lazima itajulikana, eti yesu alikuwa na watume, tupe dalili katika hio biblia kama yesu alikuwa na watume, nyinyi mmechanganyikiwa kiukweli
 
NI KWELI YESU SIO MUNGU KAMA VILE MOHAMMAD IBN ABDULLAT ASIVYO MTUME. AMBAE NI MUHUNI, MALAYA, MBAKAJI NA MUUWAJI MKUBWA. MOHAMMED ANA KESI YA KUJIBU YA MAUAJI YA KINYAMA


UKWELI UMEUONA UMEPATA KICHAA, POLE SANA ,

TUNAKUSAIDIA UPATE KUWACHA KUMWABUDU KIUMBE KAMA WEWE ALIYEZALIWA NA MWANAMKE NA KUCHEZA NA WATOTO WENZAKE CHEKECHEA , PAULO AKAMFANYA NI MUNGU KUWARIDHISHA WAPAGANI WALIOKUWA WAKIABUDU MUNGU MTU ZEUS
 
Aliye kwambia Mkriuto anakufaga ñani?..kachukue udhu wewe...hasira za kutandikwa bakora za makalio ukiwa kitandani kama alivyo àgiza Allah ndo unaleta humu?¿
Kwanini msife, mna kitu gani ambacho kinasababisha msife tupe evidence Ya kiroho na kisayansi
 
NI KWELI YESU SIO MUNGU KAMA VILE MOHAMMAD IBN ABDULLAT ASIVYO MTUME. AMBAE NI MUHUNI, MALAYA, MBAKAJI NA MUUWAJI MKUBWA. MOHAMMED ANA KESI YA KUJIBU YA MAUAJI YA KINYAMA
Huyo mtu anatokea nchi gani aliekuwa muhuni, malaya, mbakaji,
 
Mungu ni mmoja, na haki lazima itajulikana, eti yesu alikuwa na watume, tupe dalili katika hio biblia kama yesu alikuwa na watume, nyinyi mmechanganyikiwa kiukweli
Mungu sio mmoja na usilazimishe hilo. Ikiwa Mungu ni mmoja basi kubali kuwa kati ya dini mbalibali kuna dini moja tu inayomwabudu Mungu na nyingine zote zinaabudu kitu ambacho sio Mungu. Kwa mfano Wahindu wanaamini kula nyama ya ng'ombe na dhambi wakati waislam na wakristo wanaona sio dhambi. Je Mungu wao atakuwa sawa? Na kama kuna Mungu mmoja basi ujue hapa kuna wanaoabudu Mungu na ambao bila kujua wanaabudu kitu wanachoita Mungu kitu ambacho kiukweli sio Mungu
 
Mungu ni mmoja na dini Ya haki ni moja, hao wengine ni waliochanganyikiwa
 
Mungu ni mmoja na dini Ya haki ni moja, hao wengine ni waliochanganyikiwa
Umekubaliana nami kuwa wanaomwamini Mungu mwenye sifa ya kuabudiwa ni dini moja tu. Dini nyingine zinaabudu vitu ambavyo havistajili kuitwa Mungu. Bahati mbaya kila dini inaamini kuwa wao ndio wanaomwabudu huyu Mungu wa kweli. Tukikubaliana hivyo basi tuheshimiane kila mtu au dini amwabudu Mingu wake.
 
wee pikaga urojo tu huko uwani haya mambo huyawezi!; yaani hujui tofauti ya Allah na Allah...hhhhhhh..


WEWE PIGA SPAGHETI HII NAKUWEKEA

WANAFUNZI WA YESU

Na majina ya hao mitume kumi na wawili ni haya;

Wa kwanza Simon aliyeitwa Petro, na Andrea nduguye; Yakobo wa Zebadayo, na Yohana nduguye; Filipo, na Bartholomayo; Tomaso, na Mathayo mtoza ushuru; Yakobo wa Alfayo; na Thadayo; Simon Mkananayo, na Yuda Iskariote, naye ndiye mwenye kumsaliti. (Marko 10:2-4).

Kila mti hutambulika kwa matunda yake (Luka 6:44).

Basi tuone mti uliopandwa na Bwana Yesu Kristo, matunda yake ni ya ladha gani? Madaraja yaliyofundishwa na Bwana Yesu tuone wanafunzi wake walikuwa wa aina gani?

Yesu alipoleta imani, basi tuone kiwango cha imani ya waaminio wake.

Sina kawaida ya kuwafundisha watu kwa maneno yangu bali nawafundisha kulingana na maandiko yao matakatifu. Sasa tuone hali na imani ya wanafunzi wa Bwana Yesu.

1. Yesu alisema, hata sasa ninyi nanyi mngali hamna akili? (Mathayo15:16).

2. Alimwambia Petro kwamba; “Ewe mwenye imani haba, mbona uliona shaka? (Mathayo 14:31).

3. Petro alikanusha kuwa mfuasi wa Yesu mara tatu bali alimlaani. (Mathayo 26:69-75).

4. Yuda Iskariote alimuuza Yesu kwa shilingi 30 tu. (Mathayo 26:15).

5. Wakati Yesu alikuwa hatarini, wanafunzi waliendelea kulala). Mathayo 26:40-45; Marko 14:36:041).

6. Yuda alijinyonga. (Mathayo 27:5).

7. Imani ya wanafunzi: “Kwa sababu ya upungufu wa imani yenu” (Mathayo 17:20).

8. Ndipo wanafunzi wote wakamwacha wakakimbia. (Mathayo 26:50).

9. Wengi wataniambia siku ile; Bwana, Bwana hatukufanya unabii kwa jina lako, na kwa jina lako kutoa pepo, na kwa jina lako kufanya miujiza mingi? Ndipo nitawaambia dhahiri. Sikuwajua ninyi kamwe; ondokeni kwangu, ninyi mtendao maovu. (Mathayo 7:22-23).

Hapa juu umesoma hali na imani ya wanafunzi wa Bwana Yesu sawa na Biblia. Lakini sisi Waislamu hatuamini kwamba Nabii yeyote anaweza kushindwa kiasi hiki kwamba asiweze kupata matunda ya juhudi yake na athari nzuri isitokee kwa mahubiri na mafundisho yake.

Hata katika Qur'an Tukufu wanafunzi wa Bwana Yesu wametajwa kuwa mfano mzuri juu ya ulimi wa Bwana Yesu mwenyewe.

Qur'an: “Enyi mlioamini! Muwe wasaidizi wangu kwa Mwenyezi Mungu kama alivyosema Isa bin Mariam kuwaambia wanafunzi (wake): Ni nani wasaidizi wangu kwa ajili ya Mwenyezi Mungu? Wanafunzi wakasema: Sisi ni wasaidizi wa Mwenyezi Mungu.” (Qur'an 61:15).
 
Ndio, wa haki ni mmoja tu, tena na mungu wa Viumbe vyote ikiwemo, miti, wanyama, nyota, jua, mwenzi, sayari n. K
 
Kwanini msife, mna kitu gani ambacho kinasababisha msife tupe evidence Ya kiroho na kisayansi
Kumbe hata maana ya kufa hujui...Yesu kafa? kama Aliye kigezo change hakufa Mimi kwa mini nice?¿ wewe ambaye kigezo chako no mtoto wa abdKa
Mungu ni mmoja na dini Ya haki ni moja, hao wengine ni waliochanganyikiwa

Tatizo allah na Muhammad wawewavuruga hadi hamjui la dhara wala maskhara...Mungu Mwenyezi Anasema usiiabudu miungu mingine ilaha yeye..alah muhammad na majini + maisilamu wanapinga Kauli ya Mungu wanasema hakuna cha Mungu mwingine Ila allaah na mudi ni mtumewe...
 
Kwa sabab yeye ni mungu wa Viumbe vyote, ndo maana hata dp yako umeliweka jina la mungu wa haki
 
Mungu ni mmoja na dini Ya haki ni moja, hao wengine ni waliochanganyikiwa

deen deen deen ndio ndio mboga gani?¿ nyie watu wa deen ni matatizo sana! aliye kudanganya deen itakufikisha peponi zwazwa gani huyo...hhhhhhh...
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…