Yesu si Mungu, Paulo ana kesi ya kujibu

Yesu si Mungu, Paulo ana kesi ya kujibu

Status
Not open for further replies.
Inategemea umeenda kufanya nini.

Kusali ama kisikiliza anachoongea, ilhali unajua yeye ni mholanzi wewe ni msukuma.utang'ang'ania umuelewe!!!!!!
Anayeongoza sala (misa) si ndio huyo mholanzi na wewe hujui kiholanzi.
 
Habari njema ni hii kristo alitoa uhai wake kwa ajili yako Mimi na wewe tuupate uzima wa milele this is a gift from God asiyeamini tayari amekwishahukumiwa... Mfalme wa wafalme yesu kristo atarudi kuhukumu ulimwengu. KILA GOTI LITAPIGWA...
 
Nataka unioneshe kwenye biblia kuliko andikwa neno ukristo. Maana umeshindwa kunipa dini ya Ibrahim sasa ni wazi hakuujua ukristo kwasababu dini ya kikristo ilianza baada ya kuondoka kwa Yesu duniani. kwa mujibu wa andiko hili.

Matendo 11:16-26

16. Nikalikumbuka neno lile la Bwana, jinsi alivyosema, Yohana alibatiza kwa maji kweli, bali ninyi mtabatizwa kwa Roho Mtakatifu.
17 . Basi ikiwa Mwenyezi Mungu amewapa wao karama ile ile aliyotupa sisi tuliomwamini Bwana Yesu Kristo, mimi ni nani niweze kumpinga Mungu?
18 . Waliposikia maneno haya wakanyamaza, wakamtukuza Mungu, wakisema, Basi, Mungu amewajalia hata mataifa nao toba liletalo uzima.
19 . Basi wale waliotawanyika kwa sababu ya ile dhiki iliyotukia kwa habari ya Stefano, wakasafiri hata Foinike na Kipro na Antiokia, wasilihubiri lile neno ila kwa Wayahudi peke yao.
20 . Lakini baadhi ya hao walikuwa watu wa Kipro na Kirene, nao walipofika Antiokia wakasema na Wayahudi wa Kiyunani, wakihubiri habari njema za Bwana Yesu.
21. Mkono wa Bwana ukawa pamoja nao, watu wengi wakaamini, wakamwelekea Bwana.
22 . Habari hizo za watu hao zikafika masikioni mwa kanisa lililokuwako katika Yerusalemu; wakamtuma Barnaba, aende hata Antiokia.
23 . Naye, alipokwisha kufika na kuiona neema ya Mungu akafurahi, akawasihi wote waambatane na Bwana kwa kusudi la moyo.
24 . Maana alikuwa mtu mwema amejaa Roho Mtakatifu na imani; watu wengi wakaongezeka upande wa Bwana.
25 . Kisha akatoka akaenda Tarso kumtafuta Sauli;
26. hata alipokwisha kumwona akamleta Antiokia. Ikawa kwa muda wa mwaka mzima wakakusanyika pamoja na kanisa na kuwafundisha watu wengi. Na wanafunzi waliitwa Wakristo kwanza hapo Antiokia
Nionyeshe Ibrahim ni muislam kupitia kwenye biblia
 
Sasa wewe wa nafsi tatu za uungu ndio nataka unijibie maswali yangu ya huo utatu kama utanielewesha vizuri basi utanipeleka kanisani ila maswali yangu ni ya kutumia akili hivyo kabla ya kunijibu kwanza rudia kusoma swali kisha changanua kisha unijibu.

Swali La kwanza lililonipa mashaka na imani ya kikristo ni hili nijiuliza hapa:

Kuwa mtoto ni kuwa chini ya daraja ya uungu na kuwa na uungu ni kutokuwa mtoto wa yoyote. Vipi Yesu atakuwa na sifa ya utoto na uungu kwa wakati mmoja?
Kwa mwanadamu hill haliwezekani!; jee Mungu maajabu hayo Mungu Hawezi kuyafanya?
 
Uhusiano kati ya Ukristo na upagani

Katika kuhalalisha dini yake hiyo ya Ukristo, Bwana Paulo aliibua madai mazito kuwa ametokewa na Bwana Yesu na kumtuma aende kwa watu wa mataifa (wapagani) kuwapelekea dini (neno la Mungu)!
Uthibitisho wa hilo tunaupata katika maelezo yake (Paulo) yafuatayo kama alivyokaririwa na Biblia tukufu:

"Basi katika kazi hiyo nilipokuwa nikienda Dameski, mwenye mamlaka na maagizo ya wakuu wa makuhani; Ee Mfalme, ndipo wakati wa adhuhuri njiani naliona nuru inatoka mbinguni ipitayo mwangaza wa jua, ikinimulikia mimi, na wale waliofutana nami pande zote. Tukaanguka chini sote, nikasikia sauti ikisema nami kwa lugha ya Kiebrania, Sauli! Sauli! Mbona waniudhi? Ni vigumu kwako kumpiga mateke mchokoo. Nami nikasema, Wewe U nani, Bwana? Bwana akaniambia, Mimi ni Yesu, ambaye wewe unaniudhi. Lakini inuka, usimame kwa miguu yako, maana nimekutokea kwa sababu hii, nikuweke wewe uwe mtumishi na shahidi wa mambo haya uliyoyaona, na wa mambo ambayo katika hayo nitajidhihirisha kwako; nikiuokoa na watu wako, na watu wa mataifa ambao nakutuma kwao; uwafumbue macho yao, na kuwageuza waiache giza na kuelekea nuru, kumwelekea Mungu; kisha wapate msamaha wa dhambi zao, na urithi miongoni mwao waliotakaswa kwa imani iliyo kwangu mimi". (Matendo ya Mitume 26:12-18).


Madai hayo ya Bwana Paulo ya kwamba katumwa na Bwana Yesu (a.s.) aende kwa watu wa mataifa kuwapelekea neno la Mungu, kimsingi hayakubaliki. Kwa sababu Bwana Yesu (a.s.) hana sifa ya kukiuka kauli zake mwenyewe zifuatazo:

"Hao thenashara Yesu aliwatuma, akawaagiza, akisema, katika njia ya mataifa msiende, wala katika mji wowote wa Wasamaria msiingie. Afadhali shikeni njia kuwaendea kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli. Lakini watakapowafukuza katika mji huu, kimbilieni mwingine; kwa maana ni kweli nawaambia, Hamtaimaliza miji ya Israeli, hata ajapo mwana wa Adamu". (Mathayo 10:5-6,23)

Akajibu, akasema, Sikutumwa ila kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli". (Mathayo 15:24)
Aidha, maadai hayo ya Bwana Paulo, pia hayakubaliki kwa sababu kumwepusha mbali Bwana Yesu (a.s.) na sifa hatari ya kukiuka mipaka ya kazi yake aliyowekewa na Mungu kabla hata mwenyewe (Yesu a.s.) hajazaliwa, kama maandiko yafuatayo yanavyothibitisha ukweli huu:

"Bali wewe, Bethlehemu Efrata, uliye mdogo kuwa miongoni mwa elfu za Yuda; kutoka kwako atanitokea mmoja atakayekuwa mtawala katika Israeli; ambaye matokeo yake yamekuwa tangu zamani za kale tangu milele". (Mika 5:2)

"Nawe Bethlehemu, katika nchi ya Yuda, Hu mdogo kamwe katika majumba ya Yuda; Kwa kuwa kwako atatoka mtawala Atakayewachunga watu wangu Israeli". (Mathayo 2:6)

Kinyume na dai lake hilo, ukweli wa mambo unaonyesha kuwa Bwana Paulo alikwenda kwa watu wa mataifa (wapagani) kufuata dini yao, kama yeye mwenyewe asemavyo hapa chini:

"Lakini Kefa alipokuja Antiokia, nalishindana naye uso kwa uso, kwa sababu alistahili hukumu. Kwa maana kabla hawajaja watu kadhaa wa kadhaa waliotoka kwa Yakobo, alikuwa akila pamoja na watu wa mataifa; lakini walipokuja wao, akarudi nyuma akajitenga, huku akiwaogopa waliotahiriwa. Na hao Wayahudi wengine wakajigeuza pamoja naye, hata Barnaba pia akachukuliwa na unafiki wao. Walakini, nilipoona ya kuwa njia yao haiendi sawa sawa na ile kweli ya Injili, nalimwambia Kefa mbele ya wote, Ikiwa wewe uliye Myahudi wafuata desturi za mataifa, wala si za Wayahudi, kwanini unawashurutisha mataifa kufuata desturi za Wayahudi? Sisi tulio Wayahudi kwa asili, wala si wakosaji wa mataifa, hali tukijua ya kuwa mwanadamu hahesabiwi haki kwa matendo ya sheria, bali kwa imani ya Kristo Yesu; Sisi tulimwamini Kristo Yesu ili tuhesabiwe haki kwa imani ya Kristo, wala si kwa matendo ya sheria; kwa maana kwa matendo ya sheria hakuna mwenye mwili atakayehesabiwa haki. Lakini ikiwa sisi wenyewe, kwa kutafuta kuhesabiwa haki katika Kristo, tulionekana kuwa wenye dhambi, Je! Kristo amekuwa mtumishi wa dhambi? Hasha! Maana nikiyajenga tena yale niliyoyabomoa, naonyesha ya kuwa mimi mwenyewe ni mkosaji. Maana mimi kwa njia ya sheria naliifia sheria ili nimwishie Mungu". (Wagalatia 2:11-19)


Maelezo yake hayo juu, yanaonyesha jinsi Bwana Paulo alivyokuwa akimshutumu Kefa (Petro), Barnaba na Wayahudi wengine alipokutana nao huko Antiokio (kwa watu wa mataifa) kwa kutofuata kwao moja kwa moja desturi za watu wa mataifa (wapagani) kama walivyokuwa wakifanya hivyo hapo awali, kabla Wayahudi waliotoka kwa Yakobo (Myahudi) hawajaja.

Aidha, Bwana Paulo anaonekana pia hapo akimlaumu Kefa (Petro) kwa kitendo chake cha kuwashurutisha watu hao wa mataifa, yaani wapagani kufuata desturi za Wayahudi (yaani kufuata Torati ya Nabii Musa) akidai kwamba mwanadamu hatohesabiwa haki kwa matendo ya sheria; lakini kwa imani ya Kristo Yesu! Kwa maelezo yake hayo, ni wazi kuwa Bwana Paulo, Petro na wenzio wao wote yaonyesha dhahiri kuwa hawakwenda kwa watu wa mataifa huko Antiokia kwa jambo lingine lolote ila kufuata desturi za dini yao. Na kama tulivyoona hapo awali, dini yao hii watu hao wa mataifa (wapagani) ilikuwa ina miungu yao (Zeu na Herme) yenye desturi ya kujigeuza kuwa mfano wa wanadamu.

Pia ilikuwa na ibada zake wanazoifanyia miungu yao hiyo.

Kwa hali hiyo basi, kwa kuwa Bwana Paulo anafuata mia kwa mia desturi za dini ya watu wa mataifa, yaani wapagani, hapana shaka ni lazima pia huo ndio utakaokuwa msimamo wa dini yake ya Kikristo, kama tutakavyokuja kuona kwa urefu zaidi baadaye, In sha Allah.
Ha haa Paulo alikuwa ana hubir neno la mungu ,sasa kwanin asiwafuate wapagani ambao hawamjui mungu? Hao walitakiwa kuwa kondoo Wa bwana.ya ukristo haufuati utawala Wa Sheria kama torati ila imani ya yesu kristo mkombozi hata wewe inaweza ukakombolewa ukauona ufalme Wa mbingu
 
Habari njema ni hii kristo alitoa uhai wake kwa ajili yako Mimi na wewe tuupate uzima wa milele this is a gift from God asiyeamini tayari amekwishahukumiwa... Mfalme wa wafalme yesu kristo atarudi kuhukumu ulimwengu. KILA GOTI LITAPIGWA...
sasa anarudi kuhukumu nini wakati dhambi alizibeba yeye?,
au ilikua magumashi?
 
8:8 yeremia .......sisi tuna akili na taurati ya bwana ipo pamoja nasi tazama kalamu ya mwandishi imeifanya taurati kuwa uongo. my take biblia siyo reliable source, ndio maana inajichanganya sehemu nyingi paulo anawapoteza
Quran 4:82 If (quran) it had been from [any] other than Allah , they would have found within it much contradiction. Quran inawapa challenge watu kuonyesha contradictions.. Mbona hapa Allah kafail.. Kwenye quran Allah anasema hamna mtu anaeweza kugush maneno yake iweje waandishi wawe na uwezo wa kubadili maneno yake? Pia Allah anasema alimtuma yesu na kitabu injili kiko wap? Ameshindwa kukiprotect? Mbona Mimi naweza kuprotect vitabu vyangu iweje Allah ashindwe.. According to Allah injili ni kitabu kama Quran na sio Agano jipya la kwenye biblia ambalo limeandikwa na wanadamu(wafuasi wa yesu). Hiko kitabu (injil) kipo wap?Iweje Mimi niweze kuprotect vitabu vyangu na Allah ashindwe kuprotect vitabu vyake.. Hii inanifanya niwe na wasiwasi je Quran imetoka kweli kwa mungu.?
 
Kuna tofauti kubwa kwenye dini,
Uislam dini ya kimwili
Ukristo dini ya kiroho
Uislam lipiza ,ukristo samehe
Uislam, majini ni wenzetu
Ukristo ,majini ni shetani
Uislam ,imani nyingine kaa nao mbali mpaka watasilim.
Ukristo, upendo kwa watu wote.
Uislam ,akikupiga Kofi mrudishie.
Ukristo,ukipigwa Kofi mgeuzie shavu la pili.
Uislam, mtume anasaliwa hadi Leo ina maana yupo kuzimu.
Ukristo, tunamsifu Na kumtukuza hadi Leo.
 
Kuna tofauti kubwa kwenye dini,
Uislam dini ya kimwili
Ukristo dini ya kiroho
Uislam lipiza ,ukristo samehe
Uislam, majini ni wenzetu
Ukristo ,majini ni shetani
Uislam ,imani nyingine kaa nao mbali mpaka watasilim.
Ukristo, upendo kwa watu wote.
Uislam ,akikupiga Kofi mrudishie.
Ukristo,ukipigwa Kofi mgeuzie shavu la pili.
Uislam, mtume anasaliwa hadi Leo ina maana yupo kuzimu.
Ukristo, tunamsifu Na kumtukuza hadi Leo.
Nyongeza,
Uislam kamua marehemu
Ukristo hapana kukamua
Uislam vaa mabomu uende pepon
Ukristo amin jina la Yesu
Uislam Allah anaapa kwa kila kilichozaa
Ukristo Yehova anaapa kwa jina lake(maana hakun mkuu kuliko Yey)
Uislam Makkah & Madina miji mitakatifu
Ukristo Jerusalem
Mwingine aongezee
 
8:8 yeremia .......sisi tuna akili na taurati ya bwana ipo pamoja nasi tazama kalamu ya mwandishi imeifanya taurati kuwa uongo. my take biblia siyo reliable source, ndio maana inajichanganya sehemu nyingi paulo anawapoteza
HERI BIBLIA KULIKO QURAN!!..SOMA,
1475399990157.jpg
1475400042266.jpg
 
Kubishana na muislamu ni kitu kigumu sababu Quran yote imeandikwa kuupinga ukristo... Huyu mungu tunayembishania hapa hakuna nabii yoyote ambaye ameshawahi kumuona isipokuwa Yule aliyetoka kwake Yesu kristo na ambaye yuko mbinguni hivi sasa ameketi mkono wa kuume wa Baba yake. Muhammad yupo kaburini, jiulize swali kwa nini Allah alishindwa kumuokoa muhammad lakini akamuokoa yesu. Je yesu c mkuu kuliko muhammad.. Katika manabii wote ni muhammad tu ambaye hakuongea na mungu direct yeye ni jibril tu halafu hakuna hata shahidi aliyemuona huyo jibril..
Sio kuuongea hata kuongea nae Mkuu,hata kumjua kuwa ni Jibril yeye hakumujua,alipotoka huko mapangon(Jabar- hillah),akaja akamsimulia habr za mamb yaliyotokea huko mkew BI HADIJA,Bi Hadija akamfunika gubigubi maana alikuw anatetemeka,Bi Hadija akampeleka kwa mjomba wake mganga wa kienyeji l(Najiim),Jina lake ni Walagah Bin Nafal,kufika huko huyo jamaa anamwambia Muhammad,huyo aliyekutokea ni Jibril basi JIBASHIRIE umekuwa mtume,kuthibitisha hilo,soma aya hii,Quran 4:79
1475400997215.jpg
SWALI DOGO NI KINA NANI HAO WALIOMTUMA MUHAMMAD KUW MTUME "IKAWA MUNGU NI SHAHIDI?"
 
huwezi kujibu maana upeo wako sio mrefu,
wewe saa hizi unawaza kuwahi kwa ngwajima akuombee ununue kibabywalker afu jumapili uende na funguo wa gari na utoe ushuhuda,"bwana amenibariki sana mchungaji uliponiombea nimefanikiwa kununua gari,na ufunguo ndo huu,sasa nimeanza kujenga nyuma,Bwana wetu yesu asifiwe sana"

hujiuliza mbona kule china wanaabudu budha na wanajenga na kumiliki vitu vya hatari wao nani anawabariki?
we we mwenye upeo mreefu kama kulubuku ungwkuwa mkamuliwa ngama mtarajiwa, kila siku ungepulizwa &%$ o na shetani msikitini, ungeamini kuna kungonoka mbele ya allah, ungeamini ukimuingilia maiti, mtoto, kuntha kuingiliwa/kuingiliwa tundu yeyote Dubuli IMA kubuli uoge Kara tatu >
IMG_20160601_212021.jpg
hata unavyo toka povu humu naona dhamira yako imekufa tu...na sishangai mende kusifia hadi kupigania uzuri wa kuishi chooni na kulabua midodeo...
 
Wewe baki na imani yako usiingilie imani ya wengine kama unataka uelewe uliza vzr ili ueleweshwe cyovkuongea tu,nyie mkiguswa imani yenu huwa mnalipuka kama petrol angaliaaaa.......
 
Mwisho ,kusali mpaka uelekee kwy Kaaba.ukristo sali popote maombi yanajibiwa
nasikia kule mbinguni kuna mji mtakatifu wa jerusaleem,eti siku ya mwisho utatelemka na bwana yesu ndo atakuwa mfalme?
 
nasikia kule mbinguni kuna mji mtakatifu wa jerusaleem,eti siku ya mwisho utatelemka na bwana yesu ndo atakuwa mfalme?
Nasikia puani zinakaa dhambi so ukitaka kusal sharti uziondoe kwanz[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom