Yesu si Mungu, Paulo ana kesi ya kujibu

Yesu si Mungu, Paulo ana kesi ya kujibu

Status
Not open for further replies.
Hayo maneno anasema nani? Na ni nani aliona akichukuliwa katika utukufu? Huyo roho aliyemthibitisha ameumbwa na nani....je ameumbwa na huyohuyo Yesu ambaye ndiye Mungu au? Kwa hiyo Mungu anathibitishwa na kiumbe alichokiumba?
Kaka niamini haya mambo huyajui na huyawez acha kujaza Uzi kwa comment za ajabu,na upuuz mnaokaririshana huko Msikitin,SIKU ZOTE KUMBUKA QURAN HAINA HADHI YA KUICHALLANGE WALA KUITHIBITISHA BIBLIA,ALICHOKIFANYA MTUME NI KUJARIBU KUFANANISHA HABARI ZA BIBLIA,LAKIN BADO AKASHINDWA!!.
 
Tunamwabudu Mungu ambaye ni roho hivyo Tunamwabudu ktk roho hakuna anayeabudu sanamu, kumbe ninyi mwaiabudu ardhi?
Eti mungu mungu anasulubiwa? Mungu ni hilo sanamu limekaa kwenye msalaba? Mungu miaka elfu 2 hajarudi tu? Acha kufikiria kwa makalio wewe

Sent from my C6603 using JamiiForums mobile app
 
Kaka niamini haya mambo huyajui na huyawez acha kujaza Uzi kwa comment za ajabu,na upuuz mnaokaririshana huko Msikitin,SIKU ZOTE KUMBUKA QURAN HAINA HADHI YA KUICHALLANGE WALA KUITHIBITISHA BIBLIA,ALICHOKIFANYA MTUME NI KUJARIBU KUFANANISHA HABARI ZA BIBLIA,LAKIN BADO AKASHINDWA!!.
Hiyohiyo biblia na wsla si Quran. Hebu soma 4:1 Mathayo. Yesu anachukuluwa na roho nyikani ili akajaribiwe na ibilisi.....hebu nipe rationale ya andiko hilo.......yaani nipe uhusiano wa Yesu na Ibilisi na Roho!!!
 
Anayeapa na aliyelaanika ni yupi aliyebora? Ibilis alilaaniwa na Mungu na Yesu pia kalaaniwa (kafanywa kuwa laana)ibilis=yesu

Kumbukumbu 21:22-23

Akiwa mtu ametenda dhambi ipasayo kufa, akauawa, nawe ukamtundika juu ya mti;

23 mzoga wake usikae usiku kucha juu ya mti; lazima utamzika siku iyo hiyo; kwani aliyetundikwa amelaaniwa na Mungu; usije ukatia unajisi katika nchi yako akupayo Bwana, Mungu wako, iwe urithi wako.

Wagalatia 3:13

Kristo alitukomboa katika laana ya torati, kwa kuwa alifanywa laana kwa ajili yetu; maana imeandikwa, Amelaaniwa kila mtu aangikwaye juu ya mti;
Naimani hata context ya hii aya HUJUI,FUTA MANENO HAYA"*ALIFANYWA* LAANA KWA AJIRI *YETU*"ubakize ulichokikusudia maana haya yanapobaki hapo YANAHARIBU KABISA MAANA ULIYOIKUSUDIA kuw YESU AMELAANIWA!!..
 
Kuna shida gani MUNGU kujigeuza mtu ili watu wabishi wamuelewe?ilihali ana sifa ya mpaka kuijua kesho na ndo kaumba kila kitu hapa duniani,hua anaweza kutamka jambo liwe na linakua,leo kaona watu hawabadiliki kwa kumsikia tu bila kumuona akaamua aje kwa umbo la kibinadamu na ajifananishe na sisi kwa kua alituumba kwa mfano wake shida iko wapi?
Wewe ulishawahi kuingia kwenye zizi la nguruwe unaowafuga ukalala nao ili wakuelewe kwamba unapenda usafi?
 
Kuna shida gani MUNGU kujigeuza mtu ili watu wabishi wamuelewe?ilihali ana sifa ya mpaka kuijua kesho na ndo kaumba kila kitu hapa duniani,hua anaweza kutamka jambo liwe na linakua,leo kaona watu hawabadiliki kwa kumsikia tu bila kumuona akaamua aje kwa umbo la kibinadamu na ajifananishe na sisi kwa kua alituumba kwa mfano wake shida iko wapi?
Sasa mungu alipokuwa mtu..kazi za kiuungu alikuwa anazifanya nan ??

Mtihan kweli yan [emoji23] [emoji23]
 
Anaechekesha zaidi ni allah na muham mad waliosema masihi ana sifa duniani mpaka ahera...unatumia kiungo gani ktk kutafakari??? komwe?! Hivi mlaaniwa anaweza kuwa na sifa duniani na ahera? laanatulahi...
Sifa gani aliyokuwa nayo? Zaidi ya uzushi mnaodanganywa! Ndio maana nikakuuliza mungu anasulubiwa? Mungu anakufa? Usiwe maku wewe kusoma hujui picha pia huoni? Utakataa vp kwamba hufikiri kwa kutumia makalio?
 
Kaka niamini haya mambo huyajui na huyawez acha kujaza Uzi kwa comment za ajabu,na upuuz mnaokaririshana huko Msikitin,SIKU ZOTE KUMBUKA QURAN HAINA HADHI YA KUICHALLANGE WALA KUITHIBITISHA BIBLIA,ALICHOKIFANYA MTUME NI KUJARIBU KUFANANISHA HABARI ZA BIBLIA,LAKIN BADO AKASHINDWA!!.
Quran imeichallenge biblia sana, hata wanasayansi wanathibitisha hivyo, biblia editing za binaadamu na elimu Ya binaadamu ina ukomo (Epistemology)
 
ni rahisi kuchanganyikiwa ukimsoma yesu wa musaafu na bibilia kana kwamba ni vitu sawa. hapa ndio chnzo cha mkanganyiko.
Kama Issa bin Maryam wa kwenye Quran si huyo Yesu basi na Musa na Ibrahim nao sio!!!! Tukubaliane hilo.......
 
Kama hujui hilo achana na Yesu Kristu, zungimzia ISA aliyezaliwa chini ya shina la mtende.
Hivi unajua kwanini qakristo huwa mnashika matawi ya mtende wakati wa ile sherehe? Au unabisha tu ili kuzuia goodwill ya uislam?
 
Kaka niamini haya mambo huyajui na huyawez acha kujaza Uzi kwa comment za ajabu,na upuuz mnaokaririshana huko Msikitin,SIKU ZOTE KUMBUKA QURAN HAINA HADHI YA KUICHALLANGE WALA KUITHIBITISHA BIBLIA,ALICHOKIFANYA MTUME NI KUJARIBU KUFANANISHA HABARI ZA BIBLIA,LAKIN BADO AKASHINDWA!!.
Asingeweza kufananisha Qur'an na Biblia...maana drama zilizojaa kwenye biblia ni hatar kwa kweli...

Kitabu hata akieleweki ni kitabu au diary..kimejaa barua tyu za wakorintho, wagalatia, waefeso na wengine kibao..

Kitabu kimejaa maneno ya mtu ambaye hajawahi kumuona wala kumfata anayemzungumzia..Paulo katawala bible na tena tunaambiwa alikuwa anaua wafuasi wa Yetu

Kitabu kina maelezo yanayopingana yenyewe kwa yenyewe...mara huku yetu mungu..kule yesu mtu..kwengine mwana wa mungu..haujamaliza kushangaa unaambiwa mungu mmoja katika watatu (trinity)..

Kitabu kinatafsiri hata hazieleweki...kinajipinga chenyewe

Kitabu kimoja kimejaa waandishi kama gazeti la shigongo...

Kitabu hiko kimoja asili yake haijulikani..kila mtu kaandika kivyake...Barnaba ana yake...Paulo ana yake na wengine kibao..

Kitabu kina mitihan mizito...nimechoka tyu kuandika ila kuna mengi ya kujiuliza..

Muhammad hawezi kuiga kitabu hiki...
 
Hivi unajua kwanini qakristo huwa mnashika matawi ya mtende wakati wa ile sherehe? Au unabisha tu ili kuzuia goodwill ya uislam?
Kushika matawi kutoka
katika andiko hili. Mathayo 21:8 umati mkubwa wa watu wakatandaza nguo zao Barabarani na watu wengine wakakata matawi ya miti wakatandaza barabarani.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom