Asante. Tunaomboleza kuondolewa na shujaa Yona Maro maana na Mimi nilialikwa huko Wanabidii Forum na boss wangu. Nilipoona utitiri wa posts kwa email yangu nikajiondoa fasta. Hali zetu tupambane nazo tu.Mm sitaki kutafakari i wnt u to tell...njoo uniambie vzr
Mhhh kwa hiƴo hata mie nikikukoroga unajitoa duniani?Mvurugo ukikukolea unajitoa tu mkuu.
Sana kwa kweli...Jamaa alikuwa mstaarabu sana
Kila jambo lina uzito wake ndugu kulingana na mhusika. Mm hupenda niishi na familiia kwa amani na upendo.Hata wanawake wanamizigo!l
Mme anadeti na house girl live!
Anakutukana mbele yake!
Anakwambia kama kuondoka ondoka wewe huyu haondoki!
Au anachiti na mdogo wako!
Au Rafiki yako kipenzi!
Mwingine hadi picha ya michepuko anakuonyesha ilivyo bomba ili utilize mzuka maani huenei,hufikii
Yaaani tunavumilia mengiiii
Sote tuache uzinzi!
comments zako zinanikosha sana.So sad, angeondoka hapo nyumbani akayatafakari kwingine hata kwao. R.I.P awaee.
Inasikitisha sana huyo mke hataishi kwa raha poleni mno wafiwa pumzika kwa amani yona
Mh!Mkuu umechapiwa nini?
Mie navyoupenda ugali sasa!! Hapana kwakweli.Mhhh kwa hiƴo hata mie nikikukoroga unajitoa duniani?
Acha nife kifo hambacho ni chalazima ƙufa. Usiue kujiua ni kua nafsi Mungu hapendiMie navyoupenda ugali sasa!! Hapana kwakweli.
Kada katika ubora wako. Picha hujaiona hapo mwanzoni mwa thread au umeathiriwa na mlipuko wa mkuu wako.Mwenye picha yake plz
Mkuu Malaya hana haya anajiliza kidogo akitoka hapa anaendelea na yake sasa ni kuvunjwa ndoa ya mwenzie kama ipoPoleni wafiwa mmke sijui anajiskiaje Sasa na uso wake ataweka wap?
Mkuu tatizo usiri, anaona atajidhalilisha kutoa siri ya ndani, na hii inawagharimu wengi.So sad, angeondoka hapo nyumbani akayatafakari kwingine hata kwao. R.I.P awaee.
Sijui kwanini duniani kuna vitu vigumu kiasi hiki... Eeeh Mungu baba wa rehema kampe pumziko la haki marehemu..
Yona Maro alikuwa baba wa watoto wawili amefariki usiku wa kuamkia leo katika Guest House moja huko Uyole Mkoani Mbeya
Marehemu Yona alikuwa na Ugomvi na mke wake usiku wa manane, chanzo cha ugomvi ni mkewe kuchelewa kurudi nyumbani
"Marehemu alikuwa na ugomvi na mkewe kwa makosa ya kuchelewa kurudi nyumbani mara kwa mara"
Alisema jirani
Marehemu amekutwa na mauti kwenye Guest baada ya kuvunja mlango wa chumba alichopanga Na kukuta mazingira ya kujiua kwa sumu huku pembeni ameandika namba za mkewe wake
Duuuuh!!!Alikuwa mwingi wa aibu(SHY) na lone ranger ,yeye alikuwa habebi laptop bali alikuwa anatumia flash na mara nyingi alitumia laptop ya mtu mwingine(wateja wke) kusoma emails zake,kama anakutengenezea laptop ndio anatumia kusoma email ni kama mtu mwenye mawazo mengi