TANZIA Yona Fares Maro (MwanaJF na Muasisi wa Wanabidii) Afariki Dunia

wewe ni rahisi kuuwa!! Unaambiwa samehe Saba mara sabini au achana nae
Naua ili iweje?
Mwenza ni rafiki tuu!
Kwani ukisamehe kovu linaisha?
Kumbukumbu iko palepale!!

Miaka 10 sasa tunaishi tuu !
Nitamuua lini tena ?
 
Acha wivu wa kike ndg.kama huwezi tengeneza kipato kwa kutumia mtandao waache wanaoweza eafanye kazi. Kwani umesikia wamekaba mtu?

Watu aina yako ukiwemo wewe ni adui wa maendeleo.
 
Ni uduanzi wa kiwango kilichopitiliza kuutoa uhai wako kwa sababu ya mpumbavu mmoja aliyediriki kukumbatia uzinzi...

Uhai ni zawadi ambayo Mungu huitoa na kuichukua mwenyewe, sasa unatoa uhai wako huku nyuma ukimwacha mkeo akiendelea kutumbua maisha...

Unasababisha majonzi na pengine vifo vya pressure kwa wanandugu na hata wazazi...

 
Aisee Eng Lossy
wa Idara ya Maji Mbeya
waendelee!

Laana hii yote uliyoichukua ya kazi gani? Umekosa mke wewe.
 

Naamini shetani alimnong'oneza kuwa akijiua ndio suluhisho na amefanikiwa
 
HAHAHAAH, Jamii Forum burudani toshaa aseee

Aliyejiua ANATUKANWA, Mwanamke ANATUKANWA unashindwa ukae upande upi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…