TANZIA Yona Fares Maro (MwanaJF na Muasisi wa Wanabidii) Afariki Dunia

Huo uamuzi ni mgumu mnoo, kwa nini hakuwaza watoto wake, mama anarudi usiku nani atawaangalia!!!

Apumzike kwa amani....
Mwanaume na mwanamke wako tofauti. Mwanamke huwa kitu cha kwanza anawaza mtoto; sisi wanaume kwa vile tuna vichwa viwili huwa tunawaza kwanza K na watoto baadaye. Usimlaumu marehemu ndivyo tulivyo
 
Huyu mamake Taji Liundi mtoto alipona peke yake kama sijakosea
 
Ukiona mwanamke ameanza kuchepuka ndugu yangu ujue huna miaka mitano mbele, Either atakuua au utakufa kutokana na msongo wa mawazo.. Ushauri ni bora ukaachana nae na kuendelea na ishu nyingine halafu kwa nini mjini wamama wenye nyumba ni wengi?
True
 
Vitu vingine unaweza usitegemee kwa mtu smart kama Yona ....sijui ndio pepo la mauti! Dah
Mkuu linapokuja suala la ''mtu kujiua'' ni kitu amabcho kipo complex sana. Tena mara nyingi watu smart ndio huingia kwenye huamua kuchukua hii njia. Zamani nakumbuka kuna dada mmoja alijiua kwa kunywa sumu ya wadudu. Ile siku ya mazishi alikuwepo kijana mmoja mcheshi na mchangamfu, jirani wa marehemu akawa anafoka na kusikitika inakuwaje mtu aamue kunywa sumu badala ya kupambana na matatizo. Haikuisha miei sita na yeye tukasikia amekunywa sumu na kufariki. Kila mtu aliyemsikia ile siku ya mazishi ya yule dada akabaki kushangaa!
 
Na huenda labda alikua mtu mkimya asieshare yanayomsibu na wengine
 
Ndoa ni mwiba mkuu,bila ya kumshirikisha Mungu unaweza kufanya uamuzi wowote ule,hata kama utashirikisha marafiki,ndugu,wanasaikolojia,wachungaji na vitu vyote ujuavyo,usipokuwa karibu na Mungu ni kazi bure..
 
kujiua ni roho ya mauti, kama hauna ulinzi wa Mungu ikikupata hata hautajua kwanini unajiua, ila ukitaka kujiua ukapona siku Mungu akakufungua macho utajilaumu kwanini ulitaka kufanya maamuzi ya kijinga. hata yeye kama angepata nafasi ya kupona, kuna siku angejishangaa kwasababu wala sio yeye, ni roho chafu ya mauti. mkimbilieni Bwana ili awe mliinzi wenu, bila yeye hakika mtu yeyote anaweza kufanya lolote wala sio wa kumlaumu huyo Yona kwa maamuzi ya kijinga, laumuni shetani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…