chemistryj
JF-Expert Member
- Jan 4, 2017
- 238
- 148
Ndoa kitu cha ajabu unapewa cheti wala mtihani hujaufanya .
May allah pour his mercy on him.
May allah pour his mercy on him.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimesikitika sana, hawa wanandoa nawajua hata kabla hawana watoto. Tatizo mwanamke yupo njema na jamaa alikuwa choka ila alikuwa kijana mpole na mtulivu. Baba wa mwanamke alikataa wasifunge ndoa coz jamaa kiuchumi sio bomba na ni kweli huyu muuni sana na chapombe kama Baba yake na kwao ni nyuma ya shule ya mapambano sinza
Hapo mwanamke ndio mwenye makosa zaidi ya mr lossy , hata kama lossy hasingemla bado demu angekazwa njeHivi Eng Lossy wa Idara ya maji Mbeya atakuwa salama kweli kwa ndugu wa marehemu?
Kujiua kwa ajili ya ndoa?
Duuuh!!Jamaa inasemekana mwanamke alimtolea mahali ila alikuwa anachukuliwa na madingi, ni kama aliolewa ila kama alifunga ndoa labda walipoamia Mbeya. Huku ukumbi ulilipwa gaza sinza na shughuli haikufanyika.
Hatohudhuria huyo! Atazua visingizio kemkem.Waoldmoshi si wa mchezo!Ninawaza tu msibani huyu mke atawaangaliaje ndugu wa marehemu?
Inasikitisha Sana,wanawake ni watu wabaya sana.Huyu kamada na yeye si angeachana naye tuu akafanya mengine? Any way RIP lakini haikuwa lazima uchukue mkondo huo na maisha yangeendelea bila huyo mkeo.Kuna taarifa kuwa Yona Fares Maro ambaye ni mwanaJF na muasisi wa Wanabidii, Google Group amefariki dunia jana tarehe 12 January 2018 baada ya kunywa sumu.
View attachment 674668
Uamuzi wa kunywa sumu ulitokana na ugomvi baina yake na mke wake nyumbani kwao Mbeya.
Mazishi yatafanyika Jumatatu tarehe 15 Januari Kijijini kwao Mowo, Old Moshi - Kilimanjaro.
Bwana ametoa, Bwana ametwaa Jina Lake lihimidiwe.
Natoa pole kwa familia, ndugu na jamaa wa karibu wa marehemu
Chanzo ni ukurasa wa Facebook wa dada yake na Yona: Janet Fares Maro
Huu ndio ujumbe aliouacha marehemeu nyuma ya kifo chake
Nimekuwa kwenye matatizo ya ndoa kwa miaka 4, kila wiki nikipambana na mke mlevi na mzinzi.
Tukio la jana usiku na leo asubuhi limenisononesha na kunitia simanzi kubwa. Nimekata tamaa ya kila kitu na kila jambo nangoja mapenzi ya Mungu tu. Nalazimika kutumia dawa za usingizi lakini wapi.
Sasa nipumzike nimwache mke wangu Eng Mloelya na mchepuko wake Eng Lossy wa Idara ya Maji Mbeya waendelee!
Wanajf lazima mjue,mwanamke akikuzidi please pesa na Kishan akakuoa,lazima upate taabu.Duuuh!!
Yup huyo. Weka pichaYeah ndio huyu