Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Wahongaji hujigamba baadae. Ndiyo nimesema ili ushahidi uwepo ni mambo ya Kisheria. Othman Kazi aliposema waamuzi wanahongwa unakumbuka kilichompata??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wahongaji hujigamba baadae. Ndiyo nimesema ili ushahidi uwepo ni mambo ya Kisheria. Othman Kazi aliposema waamuzi wanahongwa unakumbuka kilichompata??
Mjisamehe kwaza ninyiMashabiki wa Yanga wengi ni hopeless. Ni kuwasamehe tu
HakikaMoja ya mambo yanayokwamisha watanzania wengi ni kuogopa kudai haki zao
Lilikuwa duka lileKwa wale wanaofatilia Azam TV, kuna mahojiano na mashabiki kuelekea mechi ya Yanga na Simba. Katika mahojiano hayo kuna shabiki mmoja wa Yanga anatamka bila wasiwasi na Azam TV kumuweka hewani kuwa, Simba hawawezi kufunga Yanga bila makandokando na hata walipomfunga nne walimhonga Yondani.
Yondani bado anacheza mpira kama ajira yake, kitendo cha kumhusisha na hongo kitamfanya asiaminike hata pale inapotokea akafanya kosa kwa bahati mbaya. Pia kitawapa mashaka waajiri wake hata kutomuongezea mkataba.
Katika ile mechi, Yondani aliingia mwishoni wakati timu imeshafungwa, kwanini sasa wamhusishe na hongo? Kwa TV kama Azam sikutegemea kama wanaweza kukosa weledi na kurusha kipindi bila kufanya uhariri, hivyo ni muda sahihi wa Yondanj kuchukua hatua za kisheria dhidi yao.
Let ushahidiLilikuwa duka lile