Karibu tena Shem.Shemela nilisafiri kidogo, ila sasa nipo.
Haina shaka shemela.Karibu tena Shem.
Nakazia Mkuu.Mm najua bdo mechi 10 nitangaze ubingwa na hapo simba ashinde zake zote.... sasa tumekubalika na Mungu
Ukishaamka usisahau kupiga mswaki. Teh teh.Mtajua hamjui wana utopolo
[emoji16][emoji23] yule ng'ombe wa mchongo aliishia wapi mtaniUkishaamka usisahau kupiga mswaki. Teh teh.
Umeona Mkuu sababu kama game ya juzi na Geita ni vile tu tulipata bao mapema lakini kiwango tulichokionyesha kilikuwa cha chini mno. Yaani unajikuta gane nzima unaicheck kwa presha.Bado tuna siku sita kuelekea game yetu na kmc,Tujuzane hali za majeruhi jamani,
Maana hawa kina boxer,zawadi,kaseke na yasin..mmh sio