Kwani utopolo imezuiwa kushiriki hayo mashindano mbona hatuioni? Hakika utopolo ni utopolo.Umeonaee! Kikosi chetu kiko vizuri japo kwa sasa majeruhi ndo wanatusumbua.
Hahahahaaaa. Hao nyau nyau mwisho wao unakaribia Mkuu. Teh teh. Hiyo robo si ajabu wakaisikia tu. 😎