Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

20220404_001210.jpg
 
Ila niwe mkweli kuna muda natamani na sisi tufanye vizuri Kimataifa kama wanavyofanya Makolo sijui huwa tunafeli wapi? [emoji848]
Mipango na malengo ila mi natamani kwanza tuchukue kombe la NBC ndipo tuwaze kimataifa...
Naamini msimu ujao tutafanya poa ujue simba alipata bahati ya kuanzia round ya pili kwenye Club bingwa so alivotolewa akaangukia confederation kwa kibonde red arrows ndo akatua makundi...
Ila pia sisi wachezaji wetu hawakupewa nafasi ya kucheza kutokana na kucheleweshewa ITC so tusubiri next season coz tayari tutakua ni mabingwa inshaallah!
 
Mipango na malengo ila mi natamani kwanza tuchukue kombe la NBC ndipo tuwaze kimataifa...
Naamini msimu ujao tutafanya poa ujue simba alipata bahati ya kuanzia round ya pili kwenye Club bingwa so alivotolewa akaangukia confederation kwa kibonde red arrows ndo akatua makundi...
Ila pia sisi wachezaji wetu hawakupewa nafasi ya kucheza kutokana na kucheleweshewa ITC so tusubiri next season coz tayari tutakua ni mabingwa inshaallah!
Ni sahihi Mkuu. Nadhani uongozi kwa msimu ujao bado wana kazi kubwa pia sababu niliona sehemu wachezaji kibao mikataba yao mwisho ni msimu huu.

Hivyo kwa mbali naona tayari tuna wakati mgumu Kimataifa.
 
Ni sahihi Mkuu. Nadhani uongozi kwa msimu ujao bado wana kazi kubwa pia sababu niliona sehemu wachezaji kibao mikataba yao mwisho ni msimu huu.

Hivyo kwa mbali naona tayari tuna wakati mgumu Kimataifa.
Yap tusirudie lile kosa la kusajiri tena kikosi kipya hii itatupoteza sana sema kama tukifanikiwa kuchukua kombe la ligi wachezaji wataendelea kubaki na wengine wakali zaidi watavutia kuja kujiunga nasi..
I hope next season we're going to make history
 
Ni sahihi Mkuu. Nadhani uongozi kwa msimu ujao bado wana kazi kubwa pia sababu niliona sehemu wachezaji kibao mikataba yao mwisho ni msimu huu.

Hivyo kwa mbali naona tayari tuna wakati mgumu Kimataifa.
Ligi mnachukua

Kimataifa ni rahisi sana kujua mlipo , ukipata mda hebu angalia mechi mlizocheza msimu huu ambazo sio za ligi kuu ,. Mtagundua hata next season huko kimataifa bado mtatolewa mapema tu

Kwakua tayar ligi iko mikonon mwenu , waambie viongoz wapunguze bahasha za kaki , mpate upinzan halisi mjue mapungufu yako wapi .. hamuwez fungwa mechi 3 zote ili mpoteze ubingwa, hiyo haiwezekani

Mkiendelea kuishi kwenye illusion ya performance ya ligi mtajikuta mnaangukia pale pale mlipo angukia vs River

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
... ujue simba alipata bahati ya kuanzia round ya pili kwenye Club bingwa
Simba hakupata bahati, alipangwa kuanzia round ya pili kwa kuwa ana kiwango kikubwa sana katika ranking za CAF, ndani ya ishirini bora huwa hakosi. Timu zilizoanza raundi ya awali ni zile zenye viwango duni kabisa katika ranking ya CAF na dunia, kama Yanga. Kwa hiyo usidhani ni bahati halafu na mwakani ukapangwa tena raundi ya awali ukaanza kusema CAF wanaipendelea Simba. Yanga ipo nafasi ya elfu tatu na kitu huko
 
Simba hakupata bahati, alipangwa kuanzia round ya pili kwa kuwa ana kiwango kikubwa sana katika ranking za CAF, ndani ya ishirini bora huwa hakosi. Timu zilizoanza raundi ya awali ni zile zenye viwango duni kabisa katika ranking ya CAF na dunia, kama Yanga. Kwa hiyo usidhani ni bahati halafu na mwakani ukapangwa tena raundi ya awali ukaanza kusema CAF wanaipendelea Simba. Yanga ipo nafasi ya elfu tatu na kitu huko
Sijaona kwanini umenipinga kwani hiyo hoja ulioitoa ni ya uongo kabisa.. Kumbe hata hujui ilikuaje mkaanzia round ya pili mi sijasema mlipendelewa
 
Ila niwe mkweli kuna muda natamani na sisi tufanye vizuri Kimataifa kama wanavyofanya Makolo sijui huwa tunafeli wapi? [emoji848]
Punguzen bahasha za kaki , utakuja niambia hapa

Tuombe uzima tu, imarisha kikos , nenda vitan bila kona kona , faster tu unajikuta hapa tulipo

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Punguzen bahasha za kaki , utakuja niambia hapa

Tuombe uzima tu, imarisha kikos , nenda vitan bila kona kona , faster tu unajikuta hapa tulipo

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Awapi bila janja janja za kupuliza dawa za kuwalegeza wapinzani nyie ni walaini sana ndo maana kipindi cha kwanza hua mnateseka sana
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ligi mnachukua

Kimataifa ni rahisi sana kujua mlipo , ukipata mda hebu angalia mechi mlizocheza msimu huu ambazo sio za ligi kuu ,. Mtagundua hata next season huko kimataifa bado mtatolewa mapema tu

Kwakua tayar ligi iko mikonon mwenu , waambie viongoz wapunguze bahasha za kaki , mpate upinzan halisi mjue mapungufu yako wapi .. hamuwez fungwa mechi 3 zote ili mpoteze ubingwa, hiyo haiwezekani

Mkiendelea kuishi kwenye illusion ya performance ya ligi mtajikuta mnaangukia pale pale mlipo angukia vs River

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Pote nimekuelewa ila hapo kwenye bahasha za khaki una uhakika Mtani?

Nanavyodhani mimi ni vile Kikosi chetu kimekuwa ni cha kubadilika kila msimu na hiyo ndio sababu huwa hatufanyi vizuri Kimataifa.
 
Ligi mnachukua

Kimataifa ni rahisi sana kujua mlipo , ukipata mda hebu angalia mechi mlizocheza msimu huu ambazo sio za ligi kuu ,. Mtagundua hata next season huko kimataifa bado mtatolewa mapema tu

Kwakua tayar ligi iko mikonon mwenu , waambie viongoz wapunguze bahasha za kaki , mpate upinzan halisi mjue mapungufu yako wapi .. hamuwez fungwa mechi 3 zote ili mpoteze ubingwa, hiyo haiwezekani

Mkiendelea kuishi kwenye illusion ya performance ya ligi mtajikuta mnaangukia pale pale mlipo angukia vs River

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Hakuna cha bahasha.
Timu haikuwa na maandalizi. Ukizingatia ndo tulitoka kusajili. Tena wachezaji wengi wapya. Hakukuwa na muda wa kuzoena.
Pia kilikuwa kipindi cha covid. Wachezaji wengi walipotoka hawakuwa timamu. Ilibidi wafanyishwe mazoezi magumu,kabla misuli haijaachia wanakutana na mechi ngumu. Kosa la viongozi wetu ni kupeleka timu Morocco wakati hatukuwa na muda wa kutosha.

Simba pamoja na kupata muda wa kutosha wa mazoezi kwakuanzia raundi ya pili,bado mlitolewa.

Sent from my SM-G5500 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom