Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Endeleeni kuangaika na sherehe za sare na Yanga baada ya kujipanga kupigania nafasi yenu ya pili
 
Yaani
Propaganda

Sent from my SM-G5500 using JamiiForums mobile app
Yaani timu nzuri imeshindwa kutengeneza nafasi nzuri kwa striker wao kuifunga timu mbaya, timu mbaya ikatengeneza nafasi nzuri kwa striker wao dhidi ya timu nzuri.

Sisi ni laiti kama tungezitumia vizuri nafasi tulizopata.
Wao laiti kama tungetengeneza nafasi.

Derby huwa haitumiki kupima ubora wa Timu.
 
MSIMAMO WA LIGI KUU

55. Yanga SC
54. Hakuna
53. Hakuna Tena
52. Huamini Au?
51. Labda Huko Chini
50. Shuka Tena
49. Wapo Mbali
48. Sio Mbaya Angalia Utawaona
47. Endelea Kuangalia
46. Sasa Unakaribia Mitaa Yao
45. Tena
44. Enhee!
43. Ewaaa!
42. Simba SC
 
Kale kataleta aibu huko mbeleni. Sa sijui ndo udogo. πŸ€”
Kale katoto huwa kanafanya makosa ambayo hayavumiliki. Mechi ya Azam tulifungwa goli kwa sababu ya uvivu wa yule mtoto. Toka aje Yanga amekosa nafasi za kufunga zaidi ya 4 za wazi, anataka ashoot huku amelala, sijui kwa nini. Ni mchezaji mzuri lakini anahitaji misimu walau miwili ili kucheza timu kubwa.
 
Kweli kabisa. Hakatoshi Yanga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…