Kinacho shangaza pamoja na kwamba tupo nyuma kwa points 8 lakini timu iliyotuzidi hizo points haina furaha kabisa ina wasi wasi mkubwa sanaIla mna mioyo ya kipekee aisee. Yaani mko nyuma points nane lakini mnajiona kama ndo mnaongoza ligi vile. Lol.
Ni tofauti sana, kinachojadiliwa kwenye special threads za ulaya na kinachojadiliwa humuPole sana Mtani. Niseme tu haya ni matumizi mabaya ya akili. 😀😀
Hivyo zile Special threads za timu za ulaya mule ndani ni manung'uniko tu yapo? 🤣
Semeni tu hampo kisasa na uzi wenu. Teh teh.
Hovyo kuliko mama Ester fc!?Timu la hovyo kuwahi kutokea,
Nilipitiwa Mkuu. Hapa wanashangilia tu huku hawaijui kesho yao.Shadeeya usiwapunguzie gepu, waambie kabisa wako nyuma point 11! Hicho kiporo hawajacheza na wajue Kagera siyo wa mchezo mchezo anaweza kuwawasha!
Haya ni yenu.Kinacho shangaza pamoja na kwamba tupo nyuma kwa points 8 lakini timu iliyotuzidi hizo points haina furaha kabisa ina wasi wasi mkubwa sana
🤣🤣🤣
Mdogo mdogo humu tutabadilika pia. Nyie yenu yamalizieni kwenye Live updates.Ni tofauti sana, kinachojadiliwa kwenye special threads za ulaya na kinachojadiliwa humu
Humu kuna pages ambazo imeisha zikiwa na post zote zakwako peke yako
Hamna ishu ya msingi ambayo humu mnaijadili zaidi ya kupost post mapicha (tena shuhuli nzima ukiifanya wewe)
Yanga wakupe kongole kwa hilo kwani 85% ya huu uzi ni post zako
🤣🤣 Haya bana Binamu.
Ikitokea mmekosa ubingwa! Mtamlaumu nani? Jamhuri ya Muungano😉😁🤣🤣 Haya bana Binamu.
Utadhania nyie huwa hamukosi.
Mtani acheni mentality ya kutaka mayele afunge ili awe MVP, itawa cost sana, kila mchezaji akipata nafas ya kufunga muacheni afunge,. Jana mlikua na mabao 2 ya wazi.Nimezipokea Mtani. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ubingwa bado upo japo naona aka kabundi ka sare kanataka kutuandama.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mwaka huu ubingwa ni wenu, sisi match za Away huwa tunaambulia sare tyuuh.Hahahaaaa. Sio uongo eti.
Tutakuwa wajinga kupitiliza ikitokea mkawa Mabingwa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahahaaa. Aisee!!
Ubingwa upo Binamu sema tu vichangamoto kama hivi haviezi kosekana sababu kama ujuavyo vitimu vidogo huwa vinakamia sana.Ikitokea mmekosa ubingwa! Mtamlaumu nani? Jamhuri ya Muungano😉😁
Ubingwa upo shemela, kaa kwa amani.Ubingwa upo Binamu sema tu vichangamoto kama hivi haviezi kosekana sababu kama ujuavyo vitimu vidogo huwa vinakamia sana.
Na pia kama jana haikuwa tu bahati yetu angalia statistics hizi. Kucheza tumecheza sana tu ila magoli ndo yalikataa kuingia..
View attachment 2218815
Shukran Shem. 🙏Ubingwa upo shemela, kaa kwa amani.
Meseji iwe fupi🤣Si reafa wa Tanzania Prisons kukataa kununulika😆Ubingwa upo Binamu sema tu vichangamoto kama hivi haviezi kosekana sababu kama ujuavyo vitimu vidogo huwa vinakamia sana.
Na pia kama jana haikuwa tu bahati yetu angalia statistics hizi. Kucheza tumecheza sana tu ila magoli ndo yalikataa kuingia.
View attachment 2218815
Sasa wewe kina kuuma nini?Ni tofauti sana, kinachojadiliwa kwenye special threads za ulaya na kinachojadiliwa humu
Humu kuna pages ambazo imeisha zikiwa na post zote zakwako peke yako
Hamna ishu ya msingi ambayo humu mnaijadili zaidi ya kupost post mapicha (tena shuhuli nzima ukiifanya wewe)
Yanga wakupe kongole kwa hilo kwani 85% ya huu uzi ni post zako
Statistics za PEMBENI ndiyo muhimu!Acha kujipa matumaini, mambo ni moto kwa wote hata hao unao waita timu ndogo!Ubingwa upo Binamu sema tu vichangamoto kama hivi haviezi kosekana sababu kama ujuavyo vitimu vidogo huwa vinakamia sana.
Na pia kama jana haikuwa tu bahati yetu angalia statistics hizi. Kucheza tumecheza sana tu ila magoli ndo yalikataa kuingia.
View attachment 2218815
Uzuri ni kwamba haitatokea...Ikitokea mmekosa ubingwa! Mtamlaumu nani? Jamhuri ya Muungano[emoji6][emoji16]