Inabidi Uongozi kama ni wa kumwongeza Mkataba umuongeze mapema sababu ndo anakaribia kumaliza huo mwaka na nusu.Maana kwa tetesi nilizozisikia makolo wanamlia timing
Aloo inahitajika ifanyike hima aongezwe mkataba mapema masuala ya kuanza msimu mwingine na kocha mwingine itatucost hata kama tukusajili Percy Tau na GabaskiNimeona sehemu ulikuwa wa mwaka na nusu kuanzia April 2021.
Halafu Prof kesha prove mapema ana uwezo mkubwa kwa nini wanasubiri mpaka ifike mwisho hivi watu tuanze kupata presha tuInabidi Uongozi kama ni wa kumwongeza Mkataba umuongeze mapema sababu ndo anakaribia kumaliza huo mwaka na nusu.
Na siku zote lisemwalo lipo.
Kweli kabisa.Aloo inahitajika ifanyike hima aongezwe mkataba mapema masuala ya kuanza msimu mwingine na kocha mwingine itatucost hata kama tukusajili Percy Tau na Gabaski
Umeonaee. Na kama Kaze peke yake hamna kitu pale.Halafu Prof kesha prove mapema ana uwezo mkubwa kwa nini wanasubiri mpaka ifike mwisho hivi watu tuanze kupata presha tu
Wale waendelee kukaa pamoja ivi ivi. Mimi naona Kaze ndio kama kiungo kikubwa kati ya Prof wachezaji kwa sababu anajua lugha nyingi sanaUmeonaee. Na kama Kaze peke yake hamna kitu pale.
Na tetesi zinadai amefuatilia sana mkataba viongozi wanahangaika na uchaguzi. Na ameshafungua mazungumzo na timu yeyote inayomtaka.Inabidi Uongozi kama ni wa kumwongeza Mkataba umuongeze mapema sababu ndo anakaribia kumaliza huo mwaka na nusu.
Na siku zote lisemwalo lipo.
Kwa mbali inasikitisha aisee. Usishangae akasepa kimasihara tu.Na tetesi zinadai amefuatilia sana mkataba viongozi wanahangaika na uchaguzi. Na ameshafungua mazungumzo na timu yeyote inayomtaka.
Na makolo wameanza kumnyemelea
Ni nani huyu Mkuu na anacheza nafasi gani?Mwambieni yule mchepuko wa Mo atafute uongo mwingine
Ni nani huyu Mkuu na anacheza nafasi gani?
Mkuu Huyo Anacheza Nafasi Nyingi Uwanjani Kama Yannick Bangala Yaani [emoji23], Anaweza Kucheza Wing Ya Kulia (Namba 7), Wing Ya Kushoto (Namba 11) Na Anaweza Kucheza Nyuma Ya Mshambuliaji Wa Mwisho Yaani Namba 10...Kwa Kifupi Akitua Pengo La Saidi Ntibazonkiza Halitoonekana Maana Na Mipira Iliyokufa Free Kick Na Corner Ni Mpigaji Mzuri Pia.Ni nani huyu Mkuu na anacheza nafasi gani?
Hahahaa!! Sikutembelea mitandaoni jana hivyo hata sina nijualo Mkuu. πAziiz K. Ambae leo makolo walisambaza mkataba feki kuwa wamemsajili
Hahahaaa. Kama ni hivi hapa tunabakia kusema tu Walete walete. ππMkuu Huyo Anacheza Nafasi Nyingi Uwanjani Kama Yannick Bangala Yaani [emoji23], Anaweza Kucheza Wing Ya Kulia (Namba 7), Wing Ya Kushoto (Namba 11) Na Anaweza Kucheza Nyuma Ya Mshambuliaji Wa Mwisho Yaani Namba 10...Kwa Kifupi Akitua Pengo La Saidi Ntibazonkiza Halitoonekana Maana Na Mipira Iliyokufa Free Kick Na Corner Ni Mpigaji Mzuri Pia.
Na iwe kweli aisee zile mambo za kuleta wachezaji tia maji tia maji nadhani kwa sasa hazina nafasi.Mkuu Huyo Anacheza Nafasi Nyingi Uwanjani Kama Yannick Bangala Yaani [emoji23], Anaweza Kucheza Wing Ya Kulia (Namba 7), Wing Ya Kushoto (Namba 11) Na Anaweza Kucheza Nyuma Ya Mshambuliaji Wa Mwisho Yaani Namba 10...Kwa Kifupi Akitua Pengo La Saidi Ntibazonkiza Halitoonekana Maana Na Mipira Iliyokufa Free Kick Na Corner Ni Mpigaji Mzuri Pia.
kwa hiyo huyu atakuwa Pacha ako. πππMkuu Huyo Anacheza Nafasi Nyingi Uwanjani Kama Yannick Bangala Yaani [emoji23], Anaweza Kucheza Wing Ya Kulia (Namba 7), Wing Ya Kushoto (Namba 11) Na Anaweza Kucheza Nyuma Ya Mshambuliaji Wa Mwisho Yaani Namba 10...Kwa Kifupi Akitua Pengo La Saidi Ntibazonkiza Halitoonekana Maana Na Mipira Iliyokufa Free Kick Na Corner Ni Mpigaji Mzuri Pia.
Pwani ya Tembo. Ivory costHahahaa!! Sikutembelea mitandaoni jana hivyo hata sina nijualo Mkuu. π
Raia wa wapi Mkuu?
Hii ndo inatakiwa ili walau kimataifa tufanye kitu, tuachane na zile mambo za kutolewa first round.Pwani ya Tembo. Ivory cost
HahahahaaaaaaaaKwa hesabu ya haraka haraka unaeza sema Kibu Denis + Medie Kagere = Fiston Mayele. π π π
View attachment 2257869