Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

kwa hiyo huyu atakuwa Pacha ako. [emoji23][emoji23][emoji23]

#Mzeewakazichafu.
Haswaaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mimi Napenda Watu Kama Hawa Wanaoweza Kufit Nafasi Nyingi Uwanjani Kulingana Na Uhitaji Wa Kocha, Kushoto Muweke Kulia Muweke Kati Kati Muweke Yaani Mtu Kaz Kaz Anachafua Kila Sehemu [emoji23][emoji23]
 
Saiv Yanga Wako Makini Kwenye Usajili Wameshajifunza.... Tumekosea Sana Misimu Kadhaa Nyuma Mpaka Huu Usajili Wa Kina Mayele Na Aucho Umekuja Kuclick..Kwaio Saiv Ni Mwendo Wa Kushusha Vyuma Tu Mkuu.
Natamani iwe endevu isiwe ya misimu kadhaa hapo ndo tunaweza tukawa juu miaka yote.
 
Striker hatari Lazarous Kambole kutoka Kaizer Chiefs ya Afrika ya Kusini, anasubiri tu kutambulishwa! Ameshasaini miaka 2 kuwatumikia Wananchi!

Experience ya kutosha! Chini ya Profesa Nabi, naamini atatusaidia sana kwenye safari yetu Kimataifa.
Haya ndo mambo tunataka Wananchi.

#DaimaMbeleNyumaMwiko.
 
Saa itakuwaje [emoji2297][emoji2297][emoji2297][emoji2297]
Screenshot_20220612-193418.jpg
 
Nzuri hii!! Hapa walau tuna uhakika wa kuwa na Kikosi bora tena next season.

#Mwamnyeto
#Zawadi Mauya
#Kibwana Shomari
Wote hawa tumewabakiza.
Bado Kocha, Viongozi Wetu Wafanye Mapema Kumbakiza Kocha Wetu Nabi...Maana Kuna Mitimu Inahaha Muda Huu Kutafuta Kocha Na Mojawapo Ya Timu Hizo Inatabia Za Kishirikina Isije Kufanya Balaa Bure Mtu Akasaini Mkataba Bila Kujijua [emoji28]
 
Back
Top Bottom