Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 14,938
- 25,405
Hii ishakua kawaida. Yanga all over the WorldLigi ya Laliga huko Hispania yaipongeza Yanga[emoji848]
View attachment 2284402
Jamaa kastahili. Hana utani na kazi yake akiwa Uwanjani
🎶Ndo huyo huyo nasema ndo huyo huyo 🎶[emoji445]Huyo Bangala Yannick Si Ndo Litombo....Ndo Huyo Huyo[emoji445] [emoji91] [emoji23]
Ahahaha! Yanga Tamu [emoji169][emoji172][emoji445]Ndo huyo huyo nasema ndo huyo huyo [emoji445]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mtabondwa nje ndani,CAF Wafanye Kweli Aisee, Yaani Tunawataka Tena, Hawatatoka Kwa Huu Mziki Amini Kwamba Dogo [emoji23]
Watachoka wenyewe....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] chupli chupli. Kumbe alisha staafu soka zamani, na kuwa ktk kiwanda cha Bia, ila byuti byuti wakaona aje awapatie promo ya kupata kura ktk uchaguzi.
Mkinuna natuma nyingine. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2286054
Subiri kwanza. Pale atakapoanza kuwakatisha viuno warembo wenu uwanjani msimu ujao, ndipo utaleta hizo picha zake nyingine.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] chupli chupli. Kumbe alisha staafu soka zamani, na kuwa ktk kiwanda cha Bia, ila byuti byuti wakaona aje awapatie promo ya kupata kura ktk uchaguzi.
Mkinuna natuma nyingine. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2286054
Alikuwa kuli ktk maduka ya jumla ya bia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] chupli chupli. Kumbe alisha staafu soka zamani, na kuwa ktk kiwanda cha Bia, ila byuti byuti wakaona aje awapatie promo ya kupata kura ktk uchaguzi.
Mkinuna natuma nyingine. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2286054
Kabisa yaan.Ahahaha! Yanga Tamu [emoji169][emoji172]
Lol.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] chupli chupli. Kumbe alisha staafu soka zamani, na kuwa ktk kiwanda cha Bia, ila byuti byuti wakaona aje awapatie promo ya kupata kura ktk uchaguzi.
Mkinuna natuma nyingine. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2286054
Nakazia Shem.Watachoka wenyewe....
Mtani unateseka ukiwa wapi eti ? 💃💃
Mtani, nateseka nikiwa nimekaa hapa ktk banda umiza na tecno yanguMtani unateseka ukiwa wapi eti ? [emoji126][emoji126]