Mtani Al hilal wao Group stage n MUST, target yao n ½ final, mtakaa wapi???Wananchi wenzangu nadhani Al Hilal ndo kipimo sahihi kwa sasa kuonyesha ubora wa Kikosi chetu pia huu ndo wakati wa kuonyesha kuwa sasa tupo serious na mashindano ya Kimataifa.
Sioni cha kutuzuwia kusonga mbele ikiwa kila mchezaji atajitoa na kujituma kadri ya uwezo wake na tukautumia vizuri uwanja wa Mkapa kwa kupata matokeo yaliyo mazuri.
"DaimaMbeleNyumaMwiko"
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa Al Hilal watawapindua had foward zenu.Yaani itabidi Nabi atafute muarobaini aisee na mfano mzuri ni ile game na Azam kuna mda hadi nilishindwa kuelewa zile beki zetu kwani zilikuwa zinapinduliwa na wachezaji wa Azam mpaka nikawa najiuliza nini hiki.
Hahahahaaa! Mkuu tutazilaza na viatu timu mbili kwa mpigo. lol.Mkuu Hiyo Mechi Wale Wasudani Lazima Wapigwe Kama Ngoma Hapo Kwa Mkapa [emoji4]
Hukawiagi kunikimbia. Hahahaaa.Mtani Al hilal wao Group stage n MUST, target yao n ½ final, mtakaa wapi???
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]rr
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Hebu huko. lol[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa Al Hilal watawapindua had foward zenu.
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Hahahahaaa! Mkuu tutazilaza na viatu timu mbili kwa mpigo. lol.
Hahahaaa. Niliisahau hiyo timu ya tatu aisee. lolTimu Tatu Mkuu Umeisahau Timu Ya TFF Ambayo Yenyewe Haichezagi Uwanjani, Siku Hiyo Winga Kisinda Na Morrison, Viungo Aziz Ki, Aucho Na Feisal, Af Mbele Yupo King Of The Game “Mayele” Wasudani Watapigwa Magoli Mchomoko Pale Kwa Mkapa…Magoli Ambayo Movement Zake Hazieleweki Kipa Anastukizia Tu Kitu Kwenye Neti Dadek! [emoji1]
Hahahaaa. Niliisahau hiyo timu ya tatu aisee. lol
Kwa upande wangu huyo jamaa mimi simfahamu vizuriWananchi Wenzangu Mnasemaje Huyu Jamaa Kuchukua Nafasi Ya Bumbuli.
View attachment 2367694
Mimi binafsi namkubali huyu jamaaWananchi Wenzangu Mnasemaje Huyu Jamaa Kuchukua Nafasi Ya Bumbuli.
View attachment 2367694
Amechukua nafasi ya bumbuli.Ndo amechukua nafasi ya manara au sio
Nimesikiliza jana mahojiano yake Wasafi anaonekana mtu makini kiasi. Sikuwahi kumsikiliza hapo kabla ndio jana ilikua kwa mara ya kwanza.Official [emoji169][emoji172]View attachment 2369992
Nimesikiliza jana mahojiano yake Wasafi anaonekana mtu makini kiasi. Sikuwahi kumsikiliza hapo kabla ndio jana ilikua kwa mara ya kwanza.
Nzuri hii japo kikubwa awe na Weledi katika hayo majukumu yake mapya.Official [emoji169][emoji172]View attachment 2369992