Cha ajabu Leo nimeota ndoto ambayo najua itatimia tu. Kwa ufafanuzi wako ndio itavokua yaani nimeota Mayele kawapiga kamba mbili naamini lazima tutawawasha goli mbili... Itaisha 2-1 na Yanga ataishangaza Africa.. tusubiri tu [emoji3526] mi Ni nabiiKama tungeshinda 2-1 hii mechi wangetutoa hawa jamaa kule kwao, ila kwa tokeo hili watajiamini wanatuweza ndipo tutakapowatoa, leo kulikuwa na makosa makosa fulani pale nyuma na hii yote ni kwasababu bado kuna watanzania kule nyuma ambao ni mapepe sn. Yani bora wabongo wakae mbele tu co nyuma na mbele kwenyewe sio namba 9. Tutafute kitasa pale kati kutoka nje.
Sijaona uzembe popote n Mpira tuNi uzembe wetu ndio tumeshindwa kumaliza mechi home. Tumekosa magoli ya wazi sana. Hii sio hatua ya kutaka upate nafasi kumi upate moja bali ni kila nafasi itendee haki. Kingine Nabi hataki kujifunza makosa, haiwezekani timu tokea imeanza msimu kupata clean sheet ni ngumu lakini anaacha kumpanga Bangala kama mkata umeme ili kupunguzia pressure mabeki wetu.
Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app
Kosa analolifanya Nabi ni kutokukubali kuwa Aucho siyo mkabaji mzuri.Mvurugo huu ndiyo kirusi chenyewe.Hapa akubali tu kutumia safu ya ulinzi ya msimu ulipita,yaani Mwamnyeto na Jobu kati kisha Bangala 6.Msimu Uliopita Tulifungwa Magoli Nane Tu Lakini Msimu Huu Mpk Sasa Tusharuhusu Magoli Manne Na Magoli Matatu Kati Hayo Manne Tumefungwa Kwa Mipira Ya Kona Na Free Kick, Safu Yetu Ya Ulinzi Msimu Huu Imekuwaje?
HahaaaaaNadhan tunawatazama wenzetu huko Angola
Tusishupaze shingo tujifunze kwa wenzetu
Siyo aibu kuomba ushaur kwa wenzetu
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
KWA SIMBA HII TUNAWAOMBA ARSENAL FRIEND MATCH [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji881][emoji881][emoji881][emoji881][emoji881]
Mnaona lakn najua mtakuja kunishambulia
Ukweli mchungu timu imewekeza mdomoni Sana
Mbuni ndyo kipimo chetu kwel
Simba 3-1 huko dk 78
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Cha ajabu Leo nimeota ndoto ambayo najua itatimia tu. Kwa ufafanuzi wako ndio itavokua yaani nimeota Mayele kawapiga kamba mbili naamini lazima tutawawasha goli mbili... Itaisha 2-1 na Yanga ataishangaza Africa.. tusubiri tu [emoji3526] mi Ni nabii
Daaa hawa jamaa wanaogopa nini mechi ikirushwaa live.. au ndio mganga wao alichowaambiaaAzam Media wametoa dau la 200M ili kupata haki ya kuonyesha mchezo wa Marudiano Al hilal V Yanga lakin wamezuiliwa.vyombo vya Habari vinaendeleza jitihada ya kuweka dau lakini matajiri wa Sudan hawataki Mchezo huo uonyeshwe wala Kutangazwa kwenye Redio. taarifa zaidi zitatolewa
Yupo vzr kabisaa... tupo pamoja na team yetu..Jamani Wanayanga Azizi Ki mnamuelewa?
Acha wogaa kijana.. mechi dakika 90 za kwanza zimeisha bado dakika 90 nyingine sudan.. usiwe na waswas tunampasua vzr kwao palepale..Mnaona lakn najua mtakuja kunishambulia
Ukweli mchungu timu imewekeza mdomoni Sana
Mbuni ndyo kipimo chetu kwel
Simba 3-1 huko dk 78
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app