Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamani Wanayanga Azizi Ki mnamuelewa?
Kuna wakati nawaza, Yanga wana rangi rasmi yaani kijani, njano, nyeudi na blue.Uto kwishaView attachment 2391068
Kuna wakati nawaza, Yanga wana rangi rasmi yaani kijani, njano, nyeudi na blue.
Kwa nini kusiwe na jezi ya blue na nyeusi au blue na kijani?
Ukichunguza sana timu zinazotumia njano na kijani hazina mafanikio sana kivile ukilinganisha na red, blue white au mchanganyiko wa hizo
Yanga waliwahi kuvaa jezi za Blue lini? Au nimesahau mkuu??Kuna wakati nawaza, Yanga wana rangi rasmi yaani kijani, njano, nyeudi na blue.
Kwa nini kusiwe na jezi ya blue na nyeusi au blue na kijani?
Ukichunguza sana timu zinazotumia njano na kijani hazina mafanikio sana kivile ukilinganisha na red, blue white au mchanganyiko wa hizo
Hawajawahi ila pia ni kati ya rangi yao inayotambuliwa wakati wa kuasisiwa kwa timuYanga waliwahi kuvaa jezi za Blue lini? Au nimesahau mkuu??
Naheshimu mawazo yako japo kua ni potofuKuna wakati nawaza, Yanga wana rangi rasmi yaani kijani, njano, nyeudi na blue.
Kwa nini kusiwe na jezi ya blue na nyeusi au blue na kijani?
Ukichunguza sana timu zinazotumia njano na kijani hazina mafanikio sana kivile ukilinganisha na red, blue white au mchanganyiko wa hizo