Mi naona hatufai kwa kweliYupo vzr kabisaa... tupo pamoja na team yetu..
1-2 [emoji172][emoji169][emoji91]Plastics fan wengi wa yanga wanabeza sare ya 1- 1.. ndugu mechi bado hii mbichi.. hata kwa figisu gani al hilal anapasuka vipande vipande khartoum...
Mi naona hatufai kwa kweli
Kudadadek,pesa za kuhonga wamewekeza ktk mechi ya alhilal[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]MECHI YA KIRAFIKI
YANGA 1
GREEN WARRIORS 2
Alisikika mlevi mmojaPlastics fan wengi wa yanga wanabeza sare ya 1- 1.. ndugu mechi bado hii mbichi.. hata kwa figisu gani al hilal anapasuka vipande vipande khartoum...
Tatizo mnasajiri vizeeFocus ya Yanga kwa sasa iwe kutengeneza timu itakayokaa pamoja kwa muda mrefu. Naamini ina wachezaji wazuri ambao wakikaa Pamoja kwa muda mrefu wanaweza kuwa tishio huko mbeleni.
Kusonga kwenda makundi kwa sasa ni kama ngamia kupenya kwenye tundu la sindano. Though lolote linaweza kutokea.
Back line ya Yanga ina matundu sana labda kama kocha atakubali kusikiliza ushauri wa kumswitch Bangala to six.
Kila heri huko Sudan, mkishinda mtapokelewa kama wafalme na kuzima kelele za watani