Dormant Account
JF-Expert Member
- Apr 5, 2022
- 11,308
- 32,757
Itabidi aisee.Jitahdin mshinde walau bao 3 sifuri
Eti Zulma. LolIla j5 zulma ya Geita italipwa
Ila j5 zulma ya Geita italipwa
Ndio ndio hatutaki mambo ya Kipanga kutoka naye sare.
Japo Mtihani kwetu ni namna ya kupata hizo bao nyingi sasa. 🙁🙁🙁
Hapa ndo pagumu napo.Na Kuzuia Tusifungwe Goli Maana Msimu Huu Kwenye Kuzuia Timu Haijipangi Vizuri Kabisa [emoji19]
Ila nyie. 🙁Leo ushindi upo kama refa akiwa yule wa Geita [emoji23][emoji23][emoji23]
Huo mwiko uliokuganda huko nyuma utakapouchomoa ndio akili itakujiaEeeeh, kweli bwana! Kuna mwaka walibeba ubingwa kwa kubebwa mwanzo mwisho eti tukabatizwa Malalamiko FC! Pumbavu kabisa haya majamaa ndiyo maana Ismail Aden Rage aliyaita mambumbumbu!!