Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kichwa yake ngumu sana kubadilika. Hii mechi itaenda naye.Nabi amekuwa donda ndugu sasa.Aucho ameshindwa kupandisha timu kwa dakika zote 45.Sijui kwa nini ataki kuelewa matumizi sahihi ya Bangala pale 6?.
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
9.Aziz KiWachezaji Hawa Kwasasa Watupishe Tunawashukuru Kwa Mchango Wao.
1. Kisinda
2.Makambo
3.Moloko
4. Ngushi
5. Bigi
6. Lomalisa
7. Yusuph Athumani
8. David Bryson
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1249][emoji1249][emoji1249][emoji1249]Wachezaji Hawa Kwasasa Watupishe Tunawashukuru Kwa Mchango Wao.
1. Kisinda
2.Makambo
3.Moloko
4. Ngushi
5. Bigi
6. Lomalisa
7. Yusuph Athumani
8. David Bryson
Kwa mbaaali.Ushaanza kuandika maumivu au unasubiria mpaka tarehe 9
Yaani Mkuu hivi vyote ni vimeo.Wachezaji Hawa Kwasasa Watupishe Tunawashukuru Kwa Mchango Wao.
1. Kisinda
2.Makambo
3.Moloko
4. Ngushi
5. Bigi
6. Lomalisa
7. Yusuph Athumani
8. David Bryson
Ila ipo siku yako Dula.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1249][emoji1249][emoji1249][emoji1249]
Ipo siku yangu tuuuuuIla ipo siku yako Dula.
TFF walikuwa wanawasaidia kuepukana na hii dhahma mkawaona wabaya....Wachezaji Hawa Kwasasa Watupishe Tunawashukuru Kwa Mchango Wao.
1. Kisinda
2.Makambo
3.Moloko
4. Ngushi
5. Bigi
6. Lomalisa
7. Yusuph Athumani
8. David Bryson