Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Tutumie akili zetu vizuri, kosa kama hilo Yanga analaumiwaje? Halafu tukumbuke huyu mchezaji alikuwa ana-move mpira ameishia akiwa hewani amekuja kutua ardhini anatua ndani ya box sasa maamuzi asemeje? Jaribu ku-replay hiyi clip uone jinsi alivyoukumbatia mpira akapaa nao hewani mpaka anakuja kutua yuko kwenye box! Hivyo kwa tafasiri ya maamuzi ni penalty na mbaya zaidi pointi hazirudi hizo piga ua, galagaza zimeshaenda kwa mwananchi! Na yuko kileleni sasa kwa gap la point 6! Kazi mnayo Mbumbumbu FC
 
Tutumie akili zetu vizuri, kosa kama hilo Yanga analaumiwaje? Halafu tukumbuke huyu mchezaji alikuwa ana-move mpira ameishia akiwa hewani amekuja kutua ardhini anatua ndani ya box sasa maamuzi asemeje? Jaribu ku-replay hiyi clip uone jinsi alivyoukumbatia mpira akapaa nao hewani mpaka anakuja kutua yuko kwenye box! Hivyo kwa tafasiri ya maamuzi ni penalty na mbaya zaidi pointi hazirudi hizo piga ua, galagaza zimeshaenda kwa mwananchi! Na yuko kileleni sasa kwa gap la point 6! Kazi mnayo Mbumbumbu FC
Kwa style hii si mtafikisha unbeaten 10000 ila mkienda kimataifa mnapasuka round ya kwanza miaka 25
 
Tutumie akili zetu vizuri, kosa kama hilo Yanga analaumiwaje? Halafu tukumbuke huyu mchezaji alikuwa ana-move mpira ameishia akiwa hewani amekuja kutua ardhini anatua ndani ya box sasa maamuzi asemeje? Jaribu ku-replay hiyi clip uone jinsi alivyoukumbatia mpira akapaa nao hewani mpaka anakuja kutua yuko kwenye box! Hivyo kwa tafasiri ya maamuzi ni penalty na mbaya zaidi pointi hazirudi hizo piga ua, galagaza zimeshaenda kwa mwananchi! Na yuko kileleni sasa kwa gap la point 6! Kazi mnayo Mbumbumbu FC
Hahahaaa!! Lol.

Yaani hii ni kama ile season iloisha. Hatukamatiki tena.
 
Kituo kinachofuata kwetu Timu ya Wananchi.
Screenshot_20221030-183423_Instagram.jpg
 
Tutumie akili zetu vizuri, kosa kama hilo Yanga analaumiwaje? Halafu tukumbuke huyu mchezaji alikuwa ana-move mpira ameishia akiwa hewani amekuja kutua ardhini anatua ndani ya box sasa maamuzi asemeje? Jaribu ku-replay hiyi clip uone jinsi alivyoukumbatia mpira akapaa nao hewani mpaka anakuja kutua yuko kwenye box! Hivyo kwa tafasiri ya maamuzi ni penalty na mbaya zaidi pointi hazirudi hizo piga ua, galagaza zimeshaenda kwa mwananchi! Na yuko kileleni sasa kwa gap la point 6! Kazi mnayo Mbumbumbu FC
Duh....
Mandonga fc mnabebwa mpaka bumbuli kanuna ila wewe unakaza shingo....
 
Tutumie akili zetu vizuri, kosa kama hilo Yanga analaumiwaje? Halafu tukumbuke huyu mchezaji alikuwa ana-move mpira ameishia akiwa hewani amekuja kutua ardhini anatua ndani ya box sasa maamuzi asemeje? Jaribu ku-replay hiyi clip uone jinsi alivyoukumbatia mpira akapaa nao hewani mpaka anakuja kutua yuko kwenye box! Hivyo kwa tafasiri ya maamuzi ni penalty na mbaya zaidi pointi hazirudi hizo piga ua, galagaza zimeshaenda kwa mwananchi! Na yuko kileleni sasa kwa gap la point 6! Kazi mnayo Mbumbumbu FC
Kwa hali hii soka lenu litakuwa na Safari ndefu sana ya kwenda na ndiyo sababu mtaishia kujiona miamba wa humu humu nchini ila Kimataifa mtapasikia tu.
20221031_183607.jpg
 
Wewe Bwege Wakati Yanga Tunalalamikia Makosa Yanayofanywa Na Marefa Nyie Si Mlikuwa Mnafurahia Na Mkawa Mnatuita MALALAMIKO FC Sasa Saiv Mnachoumia Ni Kitu Gani?
Eeeeh, kweli bwana! Kuna mwaka walibeba ubingwa kwa kubebwa mwanzo mwisho eti tukabatizwa Malalamiko FC! Pumbavu kabisa haya majamaa ndiyo maana Ismail Aden Rage aliyaita mambumbumbu!!
 
Back
Top Bottom