Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Wahuni wa TieFueFu inazikumbusha timu za Yanga na Simba zinazoshiriki mashindano ya "CUF" hakutakuwepo na kuhairishwa kwa mechi zao za ligi iwapo mechi inayofuata itakuwa imepishana kwa siku 2, siku ya 3 mechi ya ligi lazima ichezwe hata kama timu imecheza mechi nje ya Bongo.

Ndio maana timu zimeruhusiwa kusajili wachezaji 30, ukiona shida nenda nje ya nchi na wachezaji 18, wachezaji 12 wabakize Bongo .
 
Kama huoni timu yako waulize al Hilal
KINYE DE UTO MAMA JEI DE YEBOYEBO DE NYANI DE CHURA DE GONGOWAZI DE KABWILI DE WALIOFELI FC DE WAKUVULIWA FC [emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196]
 

Pamoja Na Kushinda Lkn Bado Mmeshindwa Kuwa Hapo Juu [emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…