Rajab Endless
Senior Member
- Oct 2, 2019
- 121
- 167
Follow account ramsi ya club @yangasc utakua unapata vikosi vya michezo yote na habari nyingine...Poa shemela, nilihisi hivyo maana uko sharp sana. Hata hivyo nilikipata sehemu. Asante sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Follow account ramsi ya club @yangasc utakua unapata vikosi vya michezo yote na habari nyingine...Poa shemela, nilihisi hivyo maana uko sharp sana. Hata hivyo nilikipata sehemu. Asante sana.
Sana Yaani aisee.YANGA RAHAAAA
Pamoja Shem. 🤝Poa shemela, nilihisi hivyo maana uko sharp sana. Hata hivyo nilikipata sehemu. Asante sana.
Na hili lipo hivi siku zote ni tu huwa wanajisahaulisha. Teh teh.Lilikuwa Ni Suala La Masaa Machache Tu Yapite [emoji28]
Ngada ni hatari kwa afya yako, tafadhari kolo wahi sobberHAT TRICK YA BOKO INATAMBULIKA FIFA NA CAF[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Endeeni kubugia pipi za heroine mkuu ni dhairi imetoka kujidunga Sasa ndiyo ukaandika mikojo hii.HAT TRICK YA BOKO INATAMBULIKA FIFA NA CAF[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sawa Makolokolo/Mbumbumbu/Malalamiko/Makelele/Kolowizards...[emoji1787]Utopolo wazee wa bahasha, Kwenye kutembeza bahasha mnaupiga mwingi mpaka unamwagika
Utopolo wazee wa bahasha, Kwenye kutembeza bahasha mnaupiga mwingi mpaka unamwagika
Na nyinyi kumbe bahasha mnapokea [emoji16][emoji16][emoji16] mo kafilisikaUtopolo wazee wa bahasha, Kwenye kutembeza bahasha mnaupiga mwingi mpaka unamwagika
Hapo lazima apate kigugumizi. 🤣Tuliwapa Bahasha Za Sh Ngapi Nyie Makolo Pamoja Na Club Africain? [emoji41]
Vile Timu ya Wananchi tumepanga Makolo kuisikia kwenye bomba nafasi ya kwanza kama Msimu uliopita hatuna budi kuchukua points tatu kwa Dodoma Jiji leo hapo 16:00Hrs. [emoji1787]
Hili linawezekana sana
kolo's wana match 2 zaidi na bado hawana uwezo wa kuongoza ligi,tuliwapa ushauri mzuri sana pindi walipoongoza ligi wascreenshoot kabisa msimamo maana wenye nafasi yetu tukikaa pale atushuki tena 😀Vile Timu ya Wananchi tumepanga Makolo kuisikia kwenye bomba nafasi ya kwanza kama Msimu uliopita hatuna budi kuchukua points tatu kwa Dodoma Jiji leo hapo 16:00Hrs. 🤣
Club african ya tunisia itakua inalelewa na kifukwe kama ni hivyoTimu inalelewa na antony mavunde ambaye ni mjumbe wa yanga,kuna nini hapo?MAELEKEZO YAENDELEE
Nakazia Swahiba. 🤣🤣kolo's wana match 2 zaidi na bado hawana uwezo wa kuongoza ligi,tuliwapa ushauri mzuri sana pindi walipoongoza ligi wascreenshoot kabisa msimamo maana wenye nafasi yetu tukikaa pale atushuki tena 😀