dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 10,466
- 18,206
Mayele Ndio kapata magoli mawili mkuu sikutazama nilikuwa safariniIts mayele again
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mayele Ndio kapata magoli mawili mkuu sikutazama nilikuwa safariniIts mayele again
Hizi ni pakti za Ngada?
Huyu mwamba apewe muda aiseeSasa Mzee Baba Moto Unaanza Kuwaka Taratibu [emoji28][emoji28]
View attachment 2419825
Orodhesha timu zote ambazo hazina maelekezo tufanye tathiminiTimu inalelewa na antony mavunde ambaye ni mjumbe wa yanga,kuna nini hapo?MAELEKEZO YAENDELEE
Kabisa yaani.Hii hali inafanya nyuzi za kipumbavu kuhusu Yanga zinazoanzishwa na kolo's wakiongozwa na kaka yao popoma zianze kupotea humu
Akiluorodheshea naomba unitumie inbox mkuu, nina shida nazoOrodhesha timu zote ambazo hazina maelekezo tufanye tathimini
Bila msaada wa refa kuwapa goli la offside, walishajifia tu.Wauza Sembe wanazidi kupoteana.
Swahiba nyuzi zitazidi kupungua kama si kupotea kabisa,yote kwa yote in mgunda we trust 😂🤣Kabisa yaani.
Kwa sasa Swahiba imeshaanza kupungua eti.Swahiba nyuzi zitazidi kupungua kama si kupotea kabisa,yote kwa yote in mgunda we trust 😂🤣
Swahiba sie tunataka pep mnene aendelee kuwa kocha wetu 😀Kwa sasa Swahiba imeshaanza kupungua eti.
Yangaaaaaaaaa......Leo point tatu muhimu
Hapo kwa Dube hata mimi nishawahi kufikilia hivyo.Dirisha dogo anatakiwa beki mmoja wa kati na striker wawili kaliba ya mayele au moses Phiri. Au tuweke kitita kwa dube
Hahahaaa. Ndio in Mgunda We Trust.Swahiba sie tunataka pep mnene aendelee kuwa kocha wetu 😀
Hakika Mkuu tunahitaji kuonyesha ukubwa wetu.Leo point tatu muhimu