Dormant Account
JF-Expert Member
- Apr 5, 2022
- 11,308
- 32,757
Huyu mbona fundi sana tu.Sasa Mzee Baba Moto Unaanza Kuwaka Taratibu [emoji28][emoji28]
View attachment 2419825
Wewe ulivyomfunga Mtibwa 5 akiwa pungufu ni tawi lako?Singida s tawi la yanga,[emoji2][emoji2]wachezaj waliambiwa ukijifany unajua unakatwa mshahara
Kuna sehemu niliona wadau wakimponda kuwa apewe mkono wa kwaheri ila binafsi niliona ni bonge la mchezaji ila kuna vivitu vivitu vidogo tu vidogo vya kuweka sawa. Huyu jamaa ni fundi tena fundi haswa. Tate Mkuu vipi bado msimamo wako uko pale pale kuwa asepe?Sasa Mzee Baba Moto Unaanza Kuwaka Taratibu [emoji28][emoji28]
View attachment 2419825
Kama kiwango chake kimeimarika, basi nipo tayari! na kwa moyo mkunjufu kabisa, kufuta kauli yangu.Kuna sehemu niliona wadau wakimponda kuwa apewe mkono wa kwaheri ila binafsi niliona ni bonge la mchezaji ila kuna vivitu vivitu vidogo tu vidogo vya kuweka sawa. Huyu jamaa ni fundi tena fundi haswa. Tate Mkuu vipi bado msimamo wako uko pale pale kuwa asepe?
Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app
Ni mechi mbili ambazo wametumia hii rangi na kuwafanya kila mchezaji atelekeze majukumu yake ipasavyo pasina kuruhusu hali yoyote ya uzembe. Vs Club African kule Tunisia na jana. Nadhani ni vyema waendelee kuitumia hii jezi mechi za mbieleni halafu tuje na hitimisho.Yanga waendelee kutumia jezi nyeusi kwenye mechi zao kuna kitu ndani yake
Kuna sehemu niliona wadau wakimponda kuwa apewe mkono wa kwaheri ila binafsi niliona ni bonge la mchezaji ila kuna vivitu vivitu vidogo tu vidogo vya kuweka sawa. Huyu jamaa ni fundi tena fundi haswa. Tate Mkuu vipi bado msimamo wako uko pale pale kuwa asepe?
Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app
Shem sikuwa hewani tangia jana. Ila kikosi chetu kilikuwa namna hii.Shemela lete kikosi wengine tuko off road.
Wameshatupisha tayari eti. πNa Watatupisha Tu Na Maunga unga Yao. [emoji23]
Nakazia. πHii Yanga huenda isifungwe tena kwenye ligi mpaka kiyama.
Hili linawezekana sanaHii Yanga huenda isifungwe tena kwenye ligi mpaka kiyama.
Matawi ya Simba huyajui, haya hapa:-Singida s tawi la yanga,[emoji2][emoji2]wachezaj waliambiwa ukijifany unajua unakatwa mshahara
Wameshatupisha tayari eti. π
Poa shemela, nilihisi hivyo maana uko sharp sana. Hata hivyo nilikipata sehemu. Asante sana.Shem sikuwa hewani tangia jana. Ila kikosi chetu kilikuwa namna hii.
View attachment 2420414