Leo hamshindi
Kumbe.Leo hamshindi
Kwenye huu uzi soma post namba 22022 utaona pendekezo la wadau kuhusu jezi hasa baada ya performance ya mechi dhidi ya Club African na Singida big stars. Jami Forums ni platform inaunganisha viongozi wa nyanja tofauti tofauti na vinavyoandika humu vinaweza vikafanyiwa kazi na wahusika.Leo mmefanya nimuamini @genta kuhusu jezi za yanga
Mtaniiiiiii vipiiiii mbna ghaflaaaa sanaaaaaa??? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]