Hata Kocha wa Club African kabla ya mechi ya Dar na baada alivyoulizwa kuwa wachezaji wa Yanga anaowaogopa na kumpa presha aliwataja Mayele na Azizi Ki tena Azizi Ki yeye alisema ndiye anayemuhofia zaidi.Nilisema hapa, Aziz Ki yuko vizuri mno, sema kama Watz tulimpigania Fei toto apate namba, ila hamfikii AZIZ KI.
Na huo ndio ukweli wenyewe! Ngada FC watabisha walivyo wapumbavu!!Nilisema hapa, Aziz Ki yuko vizuri mno, sema kama Watz tulimpigania Fei toto apate namba, ila hamfikii AZIZ KI.
Watabisha kwakuwa aliwanyooshaNa huo ndio ukweli wenyewe! Ngada FC watabisha walivyo wapumbavu!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hivi ni kweli yanga wanamtaka louis miqquison .[emoji23][emoji23]
Hakuna video yoyote, kama una ushahidi iweke hapaNyie ndyo mnajiuza kweli ile video jaman hv Utopolo mpoje
Hakuna video yoyote, kama una ushahidi iweke hapa
Cha ajabu wenyewe wanaona sawa tu. 🤣🤣Simba Ni Kama Baiskeli Ya Kunolea Visu Tu, Kelele Nyingi Lkn Bado Ipo Pale Pale.. [emoji28]