ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
[emoji736][emoji736][emoji736]Dah aisee umemkosea sn Mayele mkuu, amekiwasha sn jana licha ya kwamba hakufunga, ofcz yes, kwa striker mfano wa Mayele lazima uwe mchoyo lkn ukiachana na uchoyo wake kwa asilimia kubwa yeye ndiye aliyesababisha ushindi wa jana, wacongo walimkaba sn kumbe wakasahau watu wengine, na hiyo ndiyo advantage ya kuwa na Mayele uwanjani.
Ni kweli mambo mengi nje ya uwanja yalimkwamisha sana, binafsi namkubali sana.Bakari ni beki ya kisasa. Hapa katikati aliyumba kutokana na stress za kufiwa. Hapo kati atasimama NONDO na Doumbia.
Nadhani kila mtu anamuono wake lakini ukweli ni kwamba, ukiachana na hiyo pasi, nafasi nyingi sana kazipoteza kwa kutaka kulazimisha kufunga yeye, laiti kama akili hiyo aliyofanya angekuwa anafanyaga hivyo basi Yanga tungekuwa na magoli mengi sana. Alichokifanya mwishoni ndio alichotakiwa kukifanya kila mara, ukiwa na mpira aangalie aliyepo nafasi nzuri zaidi yake kuliko kutaka kufunga yeye.Ila ndo huyohuyo kawatengenezea wenzake nafasi kwa dribbling na pass zake, tena wakazichezea mpaka Kisinda kuja kugeuza mojawapo kuwa assist.
Mayele leo kapambana mno, tuwe na shukrani, hamna striker asiyetaka kufunga, that's natural, yeye ni striker sio midfielder, na striker lengo lake mchezoni ni kufunga goli ... kuna kipindi unamwona yuko mwenyewe mbele lakini anahold mpira, ana dribble mpaka wenzake wanafika na anawapa pasi.
Unawezaje kuongelea goli la 3 bila mchango wake?
Saa 10 jioni.Wakuu,leo game saa ngapi?
Binafsi mimi haijanistua kabisa kwasababu Yacouba kaonesha kiwango bora sana alipokuwa Yanga kabla hajaumia. Na aliporudi tena uwanjani kwa dakika chache alizocheza Mapinduzi nikaona jamaa bado ni mtu sana. Viongozi walishindwa kufikiria ni maamuzi ya busara kufanyika ili Yacouba awe sehemu ya timu. Au pengine nilichokiona mimi juu ya kiwango chake kimeonwa tofauti na benchi la ufundi na viongozi piaWanainchi mnauona moto wa Yacouba huko Ihefu?
Kule yupo kwa mkopo shida nini?Binafsi mimi haijanistua kabisa kwasababu Yacouba kaonesha kiwango bora sana alipokuwa Yanga kabla hajaumia. Na aliporudi tena uwanjani kwa dakika chache alizocheza Mapinduzi nikaona jamaa bado ni mtu sana. Viongozi walishindwa kufikiria ni maamuzi ya busara kufanyika ili Yacouba awe sehemu ya timu. Au pengine nilichokiona mimi juu ya kiwango chake kimeonwa tofauti na benchi la ufundi na viongozi pia
Shemela mbona kimya huku tuna game na hawa wajeda.
Shem nilikuwa nje ya mji huko mtandao ni shida.Shemela mbona kimya huku tuna game na hawa wajeda.
Powa karibu, pia kesho usikose Lupaso.Shem nilikuwa nje ya mji huko mtandao ni shida.
Hapa ndo nimerudi shemela.
Majukumu yake technical team yanakuwa yapi?[emoji599] YANGA imemtambulisha mchambuzi wa video, Khalil Ben Youssef raia wa Tunisia [emoji1249] kuwa mkufunzi mpya anaeungana na kikosi cha Kocha Nabi akiwa na CV nzuri kwenye eneo hilo, Kafanya kazi kwenye vilabu vikubwa barani Afrika kama Club Africain, Esperance De Tunis na Al Ahli Tripoli.View attachment 2534070