Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Angalia usijeota minyamanyama makalioni!NEXT MATCH
MARUMO 4
YANGA 0
[emoji471][emoji471][emoji471][emoji471][emoji471]View attachment 2620692
Hivi Fei anajisikiaje huko aliko?[emoji471][emoji471][emoji471][emoji471][emoji471]View attachment 2620692
Feisal mjinga sana. Alikuwa na mradi wa kuivurugia Yanga hesabu zake. Yeye na waliomtuma wameshindwa. Halafu jambo moja la kushangaza, tangu ajitenge na Yanga, kikosi kimekuwa imara maradfufu, hakishikiki ni unstoppableWakati wengine wakiwa wanahangaika na Fei sisi tunajipanga kuweka heshima. [emoji28]
View attachment 2615331
Kabisa Mkuu. Na ukiangakia hata zile Drama zake alikuwa anazitengeneza tukikaribia kuwa na mechi akijua tutatetereka.Feisal mjinga sana. Alikuwa na mradi wa kuivurugia Yanga hesabu zake. Yeye na waliomtuma wameshindwa. Halafu jambo moja la kushangaza, tangu ajitenge na Yanga, kikosi kimekuwa imara maradfufu, hakishikiki ni unstoppable
Mpira ni katili sana. Feisal anasusa, anaibuka Mudhahir kuifanya kazi ile ile ya Feisal tena kwa ufanisi mkubwaKabisa Mkuu. Na ukiangakia hata zile Drama zake alikuwa anazitengeneza tukikaribia kuwa na mechi akijua tutatetereka.
Ila mpaka hapa tulipofikia ana cha kujifunza tena kikubwa mno.
Hahahaaa! Kabisa Mkuu.Mpira ni katili sana. Feisal anasusa, anaibuka Mudhahir kuifanya kazi ile ile ya Feisal tena kwa ufanisi mkubwa
Sidhani kama ukiwazacho ndicho kipo mawazoni mwake,Hahahaaa! Kabisa Mkuu.
Mpira ni katili mnoo na huko aliko saa hii haamini macho yake. [emoji28][emoji28]
Mwisho wa siku hata kama atarejea kwa kuomba msamaha, inabidi tu auzwe tu asije kutuletea nuksi.Kabisa Mkuu. Na ukiangakia hata zile Drama zake alikuwa anazitengeneza tukikaribia kuwa na mechi akijua tutatetereka.
Ila mpaka hapa tulipofikia ana cha kujifunza tena kikubwa mno.
Tusiendekeze fix kama hizi, hata iweje hakuna timu AFRIKA hii itafikia ubora wa hata 150 Bora kidunia.Now tupo nafasi ya 9 Africa na 104 kidunia. IFFHSView attachment 2622239
According to you, ila taasisi inayoaminiwa na FIFA inasema tofauti.Tusiendekeze fix kama hizi, hata iweje hakuna timu AFRIKA hii itafikia ubora wa hata 150 Bora kidunia.
Kwa taarifa yako tu ni kwamba Yanga hii kuna timu pale England hazitoboi.Tusiendekeze fix kama hizi, hata iweje hakuna timu AFRIKA hii itafikia ubora wa hata 150 Bora kidunia.
Hili la Yanga sc kuizidi Simba kwenye viwango vya ubora caf & fifa inawauma sanaa wanabaki kubisha mpaka takwimu yaani makolo chaka lenu limezibuliwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji108]Tusiendekeze fix kama hizi, hata iweje hakuna timu AFRIKA hii itafikia ubora wa hata 150 Bora kidunia.
www.jamiiforums.com