M'Mungu ni mkubwa wepesi utapatikana na tutapata matokeo Timu ya Wananchi.Mvua Dar..
Mvua Algiers...
Hatari sana
Nawatakia mshinde...M'Mungu ni mkubwa wepesi utapatikana na tutapata matokeo Timu ya Wananchi.
#DaimaMbeleNyumaMwiko.
Shukran Mkuu naamini itakuwa hivyo 🙏🙏Nawatakia mshinde...
Hakika kombe ni letu leo.Kitendo cha Man city kushinda basi tusha maliza mechi hii " The citizens"
PoleEWE MWANANCHIIIII HAKIKA LEO NI SIKU AMBAYO TUNAENDA KUUDHIHIRISHIA ULIMWENGU KWAMBA YANGA NI KUBWA KIASI GANI NA TUNA UKUBWA KIASI GANI KATIKA SOKA.
NAJUA KUNA WATU HAWATA PENDA HISTORIA TUNAYOENDA KUIANDIKA LEO HII.
NIKUOMBE TU KAMA HUNA USTAHMILIVU NA TIMU YA YANGA USIANGALIE MECHI YA LEO.
MECHI HII NI KWA AJILI YA WABOBEZI WA SOKA.
[emoji172][emoji169][emoji172][emoji169][emoji172][emoji169][emoji172][emoji169][emoji172][emoji169][emoji172][emoji169]
Toeni mwiko mtaandika historia..bila hivo mtabaki na mwiko wenu...Kila la kheri Timu ya Wananchi leo ndo ile siku tutakayoenda kuwashangaza walio wengi kwa kuandika historia nyingine kubwa.
#DaimaMbeleNyumaMwiko.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Timu ya Wananchi tunaamka namna hii leo tarehe 04.05.2023 siku ya kuweka historia nyingine
View attachment 2644348
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hongera kwa ushindi.Kila la kheri Timu ya Wananchi leo ndo ile siku tutakayoenda kuwashangaza walio wengi kwa kuandika historia nyingine kubwa.
#DaimaMbeleNyumaMwiko.