Ubaya mmekariri mvua ni kikwazo kwa Yanga... na hiyo siku ni kweli itanyesha... lakini kombe lazima liende jangwaniNdio kombe pekee yanga atachukua,Azam conf hapati hata kwa Dawa.Niiteni Andazi niko paleee
Sisi Timu ya Wananchi tumeshazowea.Kombe letu
View attachment 2649075
Naaaaam Wanachiiiiiiiiiiiiiiiiiii [emoji169][emoji172]
Maumivu yakujitakia!View attachment 2651802MEDALI zimefungwa na lock za mabegi ya watoto wa shule[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji196][emoji196][emoji196][emoji2223]
Hii vipi [emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2651802MEDALI zimefungwa na lock za mabegi ya watoto wa shule[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji196][emoji196][emoji196][emoji2223]
Ingefaa kuwa picture of the week.Ni zaidi ya mapenziView attachment 2652874