Kama Mwaikimba tuYanga Wafanye Kweli Kwa Karamoko Wa Asec Mimosas Waachane Na Huyo Mahop Sinaga Imani Kabisa Na Washambuliaji Wenye Miili Mikubwa Ukute Mwili Mkubwa Mpira Wenyewe Hamna, Akatuletea Mambo Ya Lukaku Pale Mbele.
Mimi ni Simba lialia, kwa kweli kwa usajili wa kipopoma huu uliofanywa na viongozi wetu naziona dalili za kukosa nafasi 4 za juu!View attachment 2703817
Mm ni YANGA ila mayele kuondoka hakika tutashika nafasi ya 5
😂😂😂Mimi ni Simba lialia, kwa kweli kwa usajili wa kipopoma huu uliofanywa na viongozi wetu naziona dalili za kukosa nafasi 4 za juu!
Kufanyaje? Kuweka kiingilio sawa na bure? Sisi Yanga ni brand kubwa hatuwezi kufanya hivyo! Kiingilio kikubwa lakini watu bado wanakuja uwanjani!View attachment 2710002
Hyo Ni saa 4 tu asubuhi uwanja umetapika hakika sisi yanga tujifunze kwa simba [emoji91][emoji91][emoji91]
Kufanyaje? Kuweka kiingilio sawa na bure? Sisi Yanga ni brand kubwa hatuwezi kufanya hivyo! Kiingilio kikubwa lakini watu bado wanakuja uwanjani!
Tamasha bila kombe nisawa na msiba [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kweli Brand kubwa YANGA sisi ndyo maana tunaanzia Round ya pili kumbe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196]
Baelezee baambie ndo maana mwaka jana kawa mjane kakosa kila kitu na mwaka huu hapati kituTamasha bila kombe nisawa na msiba [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nakazia Mkuu.Azam asilete tu Timu uwanajani atakachokutana nacho sjjui!!
NB atakayeshinda leo ndio Bingwa wa FA