Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Kabisa Mkuu. Tugange yajayo sasa.Kuchanika kwa jamvi sio mwisho wa maongezi bado tutaendelea kuwa bora na mapungufu tutayafanyia kazi
mbn game nyingi tu Ki Azz hua anaanzia bench tangu enzi za Nabii? Haikua upande wetu... Yanga mpaka sasa tukubali tuna safu mbovu ya ushambuliaji.. Katikati na nyuma tupo vizuri saana ( Japo wachezaji kama kibabage) sidhani kama ni msaada kwa timu kivileHatuna washambuliaji makini
Tumekosa 2 clear chances yaani,
Halafu hivi kwanini Aziz K kaanzia benchi kwa mechi ngumu kama ya jana?
Mimi lawama zote nampa Kocha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hao crdb wametoa order kwa mo na ni tishirt za team zote wanazoView attachment 2696815
Kumekucha Kumekucha
Ni kweli Mkuu japo nadhani tutakapoanza kucheza mechi basi utachangamka.Uzi wetu umepoa sana
Inabidi turudi upya morali kama imepotea hiviNikweli Mkuu japo nadhani tutakapoanza kucheza mechi basi utachangamka.
Kabisa Mkuu.Inabidi turudi upya morali kama imepotea hivi