Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

2457158_FB_IMG_15948344390726987.jpg
 
Hatuna washambuliaji makini
Tumekosa 2 clear chances yaani,
Halafu hivi kwanini Aziz K kaanzia benchi kwa mechi ngumu kama ya jana?
Mimi lawama zote nampa Kocha.

Sent using Jamii Forums mobile app
mbn game nyingi tu Ki Azz hua anaanzia bench tangu enzi za Nabii? Haikua upande wetu... Yanga mpaka sasa tukubali tuna safu mbovu ya ushambuliaji.. Katikati na nyuma tupo vizuri saana ( Japo wachezaji kama kibabage) sidhani kama ni msaada kwa timu kivile
 
Back
Top Bottom