Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Screenshot_20231023-112619_Instagram.jpg
 
Japo ushindi umepatikana ile move Moloko kafanya uzembe sana ilikuwa atoe pasi mapema iwe goli.
 
Hivi Musonda yuko wapi?

My observations kutoka mechi ya jana.
  1. Kocha alifanya dangerous experimentation ya kuwachezesha wachezaji nje ya nafasi zao asili. Pacome, Job na Maxi
  2. Mudathir sio wa kuanza kati na Aucho, badala yake Pacome aanze nafasi ile Muda aingie baadaye
  3. Kennedy lazima aanze tu kwa kikkosi hiki, hatuna striker zaidi yake, pia angetusaidia kuwa kama winga
  4. Lazima tununue mawingi halisi na srtiker halisi dirisha dogo.
  5. Moloko, Skudu, Konkoni wapewe THANK YOU!
 
Hivi Musonda yuko wapi?

My observations kutoka mechi ya jana.
  1. Kocha alifanya dangerous experimentation ya kuwachezesha wachezaji nje ya nafasi zao asili. Pacome, Job na Maxi
  2. Mudathir sio wa kuanza kati na Aucho, badala yake Pacome aanze nafasi ile Muda aingie baadaye
  3. Kennedy lazima aanze tu kwa kikkosi hiki, hatuna striker zaidi yake, pia angetusaidia kuwa kama winga
  4. Lazima tununue mawingi halisi na srtiker halisi dirisha dogo.
  5. Moloko, Skudu, Konkoni wapewe THANK YOU!
Konkoni na Skudu nakukatalia wamecheza mechi ngapi?
 
Hivi Musonda yuko wapi?

My observations kutoka mechi ya jana.
  1. Kocha alifanya dangerous experimentation ya kuwachezesha wachezaji nje ya nafasi zao asili. Pacome, Job na Maxi
  2. Mudathir sio wa kuanza kati na Aucho, badala yake Pacome aanze nafasi ile Muda aingie baadaye
  3. Kennedy lazima aanze tu kwa kikkosi hiki, hatuna striker zaidi yake, pia angetusaidia kuwa kama winga
  4. Lazima tununue mawingi halisi na srtiker halisi dirisha dogo.
  5. Moloko, Skudu, Konkoni wapewe THANK YOU!

Jana Muda hakuwa katika ubora wake lakini siku zote yeye ndio anacheza kati kati na Aucho

Uliowataja wapewe Thank you nakubaliana na wewe
 
Hivi Musonda yuko wapi?

My observations kutoka mechi ya jana.
  1. Kocha alifanya dangerous experimentation ya kuwachezesha wachezaji nje ya nafasi zao asili. Pacome, Job na Maxi
  2. Mudathir sio wa kuanza kati na Aucho, badala yake Pacome aanze nafasi ile Muda aingie baadaye
  3. Kennedy lazima aanze tu kwa kikkosi hiki, hatuna striker zaidi yake, pia angetusaidia kuwa kama winga
  4. Lazima tununue mawingi halisi na srtiker halisi dirisha dogo.
  5. Moloko, Skudu, Konkoni wapewe THANK YOU!
Konkoni na Moloko ndiye wakupewa thank you, moloko bado anachz mpira wa kizamani kwenye ile nafasi yake, then tunaleta midfielder mwingine wa kuwapa changamoto Aucho na Muda, sina imani na viwango vya sureboy, mauya na mkude.....kisha nafasi ya konkoni tunaleta winga mwingine anayechz kisasa winga anayejua chenga, mwenye spidi na anafunga pia mfano yule kinzumbi wa mazembe anatufaa....khs kuwa na namba tisa wabaki tu mzize na musonda hao hao kwnz saiv magoli yanatoka popote kila mchzj akipata nafasi nzuri ya kufunga afunge hkn kutegemea mtu mmoja wa mwisho ndiye afunge.
 
Konkoni na Moloko ndiye wakupewa thank you, moloko bado anachz mpira wa kizamani kwenye ile nafasi yake, then tunaleta midfielder mwingine wa kuwapa changamoto Aucho na Muda, sina imani na viwango vya sureboy, mauya na mkude.....kisha nafasi ya konkoni tunaleta winga mwingine anayechz kisasa winga anayejua chenga, mwenye spidi na anafunga pia mfano yule kinzumbi wa mazembe anatufaa....khs kuwa na namba tisa wabaki tu mzize na musonda hao hao kwnz saiv magoli yanatoka popote kila mchzj akipata nafasi nzuri ya kufunga afunge hkn kutegemea mtu mmoja wa mwisho ndiye afunge.
 
Hivi Musonda yuko wapi?

My observations kutoka mechi ya jana.
  1. Kocha alifanya dangerous experimentation ya kuwachezesha wachezaji nje ya nafasi zao asili. Pacome, Job na Maxi
  2. Mudathir sio wa kuanza kati na Aucho, badala yake Pacome aanze nafasi ile Muda aingie baadaye
  3. Kennedy lazima aanze tu kwa kikkosi hiki, hatuna striker zaidi yake, pia angetusaidia kuwa kama winga
  4. Lazima tununue mawingi halisi na srtiker halisi dirisha dogo.
  5. Moloko, Skudu, Konkoni wapewe THANK YOU!
Kuhusu Musonda, kocha alitoa ufafanuzi kabla ya kuanza mechi dhidi ya Azam kuwa ameumia mazoezini pamoja na Yao Kwasi.
 
Hivi Musonda yuko wapi?

My observations kutoka mechi ya jana.
  1. Kocha alifanya dangerous experimentation ya kuwachezesha wachezaji nje ya nafasi zao asili. Pacome, Job na Maxi
  2. Mudathir sio wa kuanza kati na Aucho, badala yake Pacome aanze nafasi ile Muda aingie baadaye
  3. Kennedy lazima aanze tu kwa kikkosi hiki, hatuna striker zaidi yake, pia angetusaidia kuwa kama winga
  4. Lazima tununue mawingi halisi na srtiker halisi dirisha dogo.
  5. Moloko, Skudu, Konkoni wapewe THANK YOU!
Hivi ni kweli Skudu kaflopu au hapewi nafasi ya kucheza kama kina Mkude na Mauya
 
Hivi ni kweli Skudu kaflopu au hapewi nafasi ya kucheza kama kina Mkude na Mauya
mm mwenyewe nawashangaaga wanaosema jamaa kaflop wakt kabla ya kuumia kule tanga alkw kwenye first eleven ya Gamondi ila baada ya kupona majeraha nafasi yake ilishachukuliwa na pacome na kwasasa ni ngumu kumtoa pacome kwenye kikosi cha kwanza maana anaubonda kweli kweli....na leo pacome atafanya mabalaa kama kawaida [emoji1]
 
Back
Top Bottom