Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Technically man of the match kwangu Mimi ni Diarra amabye kamtoa nje Kibu aliyekuwa tishio kwa defence ya Yanga. Baada ya Kibu kwenda nje defence ikapumua. Lomalisa akawa Yuko free ingawa hakuwa na wakati mzuri ktk mechi hii
 
Umeongea fact tupu
 
Technically man of the match kwangu Mimi ni Diarra amabye kamtoa nje Kibu aliyekuwa tishio kwa defence ya Yanga. Baada ya Kibu kwenda nje defence ikapumua. Lomalisa akawa Yuko free ingawa hakuwa na wakati mzuri ktk mechi hii
Kwangu man of the match ni pacome..jana jamaa kaonesha kila yan kafanya kila kitu kwa 100% kauchezea mpira alivyotaka yeye katembea alivyo taka yeye amefanya mpira umeonekana rahisi sana
 
Good analysis...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…