Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siyo Algeria ni Ali_jeria [emoji23]Matokeo vipi huko Algeria??[emoji28][emoji28]
hii ndio club bingwa sasa mkuu haina uchawi haina kupitia mlango wa nyuma huu ndo uwezo wenu sasaTeam leo inacheza chini ya kiwango. Tunapoteza sana mipira tena kizembe kwenye maeneo hatari. Tunastahili kuwa nyuma kutokana na huu uzembe uliokithiri. Lomalisa na Zouzoua wako nje ya mchezo leo na wanaslow tempo ya game wakati wote tunapotakiwa kwenda kwa pace. Sub ya Mzize na Mwamnyeto inahitajika.
Hivi Diarra ana changamoto gani kwani?Haya ndo matokeo yetu mechi ya jana Champions League . Hatuna haja ya kukata tamaa bado nafasi tunayo.
View attachment 2824115
Angekuepo ndo 3 zisingeingia?Hivi Diarra ana changamoto gani kwani?
Sina hakika ila nilisikia kama alichelewa kufika kambini.Hivi Diarra ana changamoto gani kwani?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yanga wapo vizuri sana. Kiasi kwamba hata mashabiki nauongozi wa simba unatamani kuwa na kikosi cha yanga.
[emoji23][emoji23][emoji23] hadi msemeeeTeam leo inacheza chini ya kiwango. Tunapoteza sana mipira tena kizembe kwenye maeneo hatari. Tunastahili kuwa nyuma kutokana na huu uzembe uliokithiri. Lomalisa na Zouzoua wako nje ya mchezo leo na wanaslow tempo ya game wakati wote tunapotakiwa kwenda kwa pace. Sub ya Mzize na Mwamnyeto inahitajika.
Mtani makundi hutoboi, wee pambania NBC tyuuh.Haya ndo matokeo yetu mechi ya jana Champions League . Hatuna haja ya kukata tamaa bado nafasi tunayo.
View attachment 2824115
Kwamba yeye ndo angefanya nn? Tena nilitaka afungwe yule linakuaga na masifa sana.Hivi Diarra ana changamoto gani kwani?
Diarra kasusaHivi Diarra ana changamoto gani kwani?